The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,065
Tarehe 5 May 2020 hakuna hisa hata moja iliyouzwa. Yaani trading volume ni sifuri.
Dar es Salaam Stock Exchange ina kampuni 24 au 25 zilizosajiliwa.
Maana yake no selling or buying of shares. Hii niishara kua there is poor or low liquidity in the market
Wataalamu wa uchumi watatusaidia kujua kwa nini hali hii imetokea. Hii ni muujiza wa kwenye vitabu vya rekodi za Dunia.
Dar es Salaam Stock Exchange ina kampuni 24 au 25 zilizosajiliwa.
Maana yake no selling or buying of shares. Hii niishara kua there is poor or low liquidity in the market
Wataalamu wa uchumi watatusaidia kujua kwa nini hali hii imetokea. Hii ni muujiza wa kwenye vitabu vya rekodi za Dunia.
