Hali hii Sudan inatisha. Hapa sijamwona Mmarekani wala Mrusi. Ni Waafrika wenyewe wanafanyiana huu ukatili

Afrika inadumaa kwa sababu hatujitambui. Hatujui hata priorities. Vitu vidogo vya kijinga tunavipa umuhimu mkubwa, matatizo makubwa tunayapuuza.

Tatizo kubwa la kwanza na msingi la Afrika ni mifumo mibaya ya kiutawala. Mifumo mibaya ya kiutawala imesababisha umaskini usioisha, vita vya wenyewe kwa wenyewe kugombania kidogo kinachozalishwa, matatizo makubwa ya ajira, uwekezaji mdogo, na uwepo wa viongozi matapeli na wevi wakubwa wa mali za umma.

Lakini kwa uduni wa akili tunageuza kama vile ushoga ndiyo tatizo kubwa la Afrika wakati hakuna anayelazimishwa kuwa shoga. Katika maisha yangu yote ya kuzunguka Tanzania, ni mara mbili tu nilioneshwa vijana wawili, kama miaka 10 iliyopita, nikaambiwa hao ni mashoga. Walikuwa wamejipodoa, wamekata nyusi, ukiwaona huelewi kama ni wanaume au wanawake. Nikauliza kama walikuwa wasanii, ndipo nikaambiwa kuwa ni mashoga. Hao niliowaona mie ni wawili, lakini hakuna siku ambayo itaisha usikutane na Watanzania maskini kabisa ambao hawajui leo jioni au kesho watakula nini.

Kwanza, kama kweli kuna watu wanaupigia promotion ushoga, kwa watu walio maskini kabisa, ni rahisi kushawishika na kukubali kama jambo hilo litampa kipato kizuri na cha uhakika. Siku hizi tunaambiwa kuwa wapo mpaka vijana watanashati kabisa waliokubali kuwekwa kinyumba na baadhi ya akina mama wenye kipato. Na kichocheo cha hayo ni umaskini, na mtindo wa baadhi ya vijana kupenda maisha mtelemko.

Twende kwenye mambo makubwa na ya msingi, ingawa hatutakiwi kuyapuuza mambo madogo kama ushoga, pia.

Unashangaa spika anakataa kujadili ubadhirifu wa pesa ya umma, wenye athari kwa Watanzania wote, halafu anakubali kujadili ushoga ambao unawaathiri watu wachache. Kwa nini mambo madogo tuyape uzito mkubwa lakini makubwa, kwa sababu yanawahusu au yanawagusa ndugu na marafiki zao, yanapigwa teke?
 
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.

Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.
View attachment 2594741
hapa huwezi kumwona mzungu kwa kuwa yeye yuko nyuma ya mwanvuli.anagawa silaha ili waafrika wauane na yeye yuko busy kuchukua madini.ninachokubaliana na wewe kwa nini sisi waafrika tukubali kutumiwa na wazungu kwa maslahi yao?Pengine pia sisi waafrika tukishika dola huwa tunabagua baadhi ya makabila au koo hivyo kupelekea makabila hayo kukata tamaa na kuamua kuingia msituni.kuna sababu kadha kwa kadha.kwa kweli sisi waafrika ni wanyama kama simba na wanyama wengine na hatuna ustaarabu.
 
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.

Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.
View attachment 2594741
Wanavuna walichopanda,ukumbuke maisha yao wa Sudan mara kwa mara yamekuwa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa miongo kadhaa,kwahiyo kuna vizazi vimepita vingi vikibeba hiyo hali ya ukatili wa aina hiyo,huwezi kukuta wala haitakuja kutokea nchi kama Tanzania ikaingia huku,kwakuwa maisha yetu yametawaliwa na amani sana,na hakuna anayeweza kuthubutu kuiacha ikapotea,sisi kwenye kulonga kwa midomo ndio mafundi...
 
Jitahidi kuutumia vzr ubongo wako ili ukusaidie kuwaza kwa kina.

Naona umewaza juu juu sana kwa kiwango ambacho hata kutatua changamoto za familia yako sidhani kama unamudu (Kama ni mtu mzima lkn).

Sorry naomba kujua jinsia yako kabla sjaendelea kutoa mawazo yangu juu ya hii mada.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Wewe ni boya tu sababu hakuna la maana ulilojibu.. kitu gan ulichoshindwa kujibu wewe unaewaza chini chini kwa hiko alichoandika mwenzako? Haya tuambie na wewe jinsia yako maana umeandika kimipasho tu bila kujibu kwa hoja
 
Fikira duni kama hizi ndiyo zinaifanya Afrika na wanaotoa maneno kama haya kuwa duni, maana wao hata kama ni kwa uvivu wao wakakosa chakula au hata wakajikwaa, sababu inakuwa ni wazungu.
He is clearly trolling you and you are dumb to fall for it
 
hapa huwezi kumwona mzungu kwa kuwa yeye yuko nyuma ya mwanvuli.anagawa silaha ili waafrika wauane na yeye yuko busy kuchukua madini.ninachokubaliana na wewe kwa nini sisi waafrika tukubali kutumiwa na wazungu kwa maslahi yao?Pengine pia sisi waafrika tukishika dola huwa tunabagua baadhi ya makabila au koo hivyo kupelekea makabila hayo kukata tamaa na kuamua kuingia msituni.kuna sababu kadha kwa kadha.kwa kweli sisi waafrika ni wanyama kama simba na wanyama wengine na hatuna ustaarabu.
Kitendo cha sisi kukubali hizo silaha na kuanza kuuana (kama ni kweli) bado sisi ni WAPUMBAVU hatujitambui
 
Hii video inahusika vipi na ushoga? Maana nimeona ushoga umetajwa mara nyingi sana. Au mtoa mada unapigania haki zenu?
 
Jitahidi kuutumia vzr ubongo wako ili ukusaidie kuwaza kwa kina.

Naona umewaza juu juu sana kwa kiwango ambacho hata kutatua changamoto za familia yako sidhani kama unamudu (Kama ni mtu mzima lkn).

Sorry naomba kujua jinsia yako kabla sjaendelea kutoa mawazo yangu juu ya hii mada.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Jinsia yake unaitaka ya nini? Huna mume unata kuolewa au huna mke, unataka kuoa? Si kuna jukwaa la mahusiano kama unatafuta mwenzi?
 
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.

Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.
View attachment 2594741
Maxence Melo Moderator tunaomba weka caution kwa wsnaoufungua huu uzi kuwa kuna vid ya kutisha sana.

Afrika nakulilia
 
Siku zote nmekuwa nikisema sisi waafrika ni wanyama sana. Wakati tunapambana na mashoga n.k tunasahau huu unyama ambao tunafanyiana wenyewe kwa wenyewe.

Yaani tunatumia nguvu kubwa kwa mambo ambayo effect yake si kama hii ambayo inaonekana hapa kwenye video(SIUNGI MKONO USHOGA HATA KIDOGO) Ila hawa wanaoua hivi raia kesho utawasikia wanakwambia ushoga ni ushetani (kitu ambacho nakubaliana nao) ila hiki wanachofanya hapa kinaonekana ni kitu cha kawaida.

Hii ni Sudan. Bado lawama utasikia zinaenda kwa wazungu. Ni upumbavu. Hapa nimeangalia kwenye video sijaona mzungu hata mmoja akiua raia hawa kikatili namna hii.

Miafrika ni mijitu ya ajabu sana. Bado ina unyani mpaka leo. Huwezi mfanyia hivi binadamu mwenzio ukiwa nawe ni binadamu. Ni ngumu sana.
View attachment 2594741
video haiplay
 
Wanavuna walichopanda,ukumbuke maisha yao wa Sudan mara kwa mara yamekuwa katika vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa miongo kadhaa,kwahiyo kuna vizazi vimepita vingi vikibeba hiyo hali ya ukatili wa aina hiyo,huwezi kukuta wala haitakuja kutokea nchi kama Tanzania ikaingia huku,kwakuwa maisha yetu yametawaliwa na amani sana,na hakuna anayeweza kuthubutu kuiacha ikapotea,sisi kwenye kulonga kwa midomo ndio mafundi...
Kweli kabisa hao wanao piga wenzao namna hiyo bila shaka waliwahi kushuhudia ndugu zao wakiuawa kikatili wakati wakiwa watoto. Hivyo roho zao wala haziumii zinaona kawaida tu.
 
Wewe ni boya tu sababu hakuna la maana ulilojibu.. kitu gan ulichoshindwa kujibu wewe unaewaza chini chini kwa hiko alichoandika mwenzako? Haya tuambie na wewe jinsia yako maana umeandika kimipasho tu bila kujibu kwa hoja
Mbona ni simple tu, ilikua ni swala la kumjibia yeye ni jinsia gani kama ww unaitambua.

Naona umeamua kumkingia kifua bila kumjibia swali lenyewe.

Haya ngoja twende pamoja naww, vipi unaweza ukanijibu ni kivipi mapigano ya Sudani yamehusiana na Ushoga ambao ndugu yako(mtoa mada) amehusianisha?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Jinsia yake unaitaka ya nini? Huna mume unata kuolewa au huna mke, unataka kuoa? Si kuna jukwaa la mahusiano kama unatafuta mwenzi?
Nmemuuliza ili nipate namna ya kumuelewesha.

Kama ni wa kike, sina tatizo nae. Ila kama ni wa kiume aseme ili nimueleweshe kiume.

Vipi unaitambua jinsia yake?

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Wacheni kujidhalilisha, wacheni ugaidi wa kimtandao

Huu uzi haukupaswa kupewa hata dakika moja.


Wacheni ugaidi. hatuwezi kuendelea kujidhalilisha hivi. Jamii forums isitumike katika kuchochea Dis-information Afrika. Hatuna haja ya kuhabarisha kwa kubeza, kutukana na kudhalilishana...Jamiifirums wachaneni na hizi karaha.
 
Back
Top Bottom