Hali halisi matumizi ya mifuko "Mbadala" mtaani...

Hali halisi matumizi ya mifuko "Mbadala" mtaani...

Trust None

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2018
Posts
1,260
Reaction score
4,421
Mtaani biashara imekuwa ngumu! Mifuko ya kufungia bidhaa imekuwa ngumu kutokana na bei ya mifuko mbadala.

Wafanyabiashara wamekuwa wagumu kutumia mifuko mbadala kuwafungia wateja wao, kinachotokea ni MALUMBANO kati ya mteja na mfanya biashara. Ukitaka akufungie kwenye mifuko mbadala, anapandisha bei ya bidhaa.

Wanatumia magazeti hadi kwenye bucha, mteja usipoenda na hotpot au kikontena cha plastik, utashindwa kuhemea utumbo.

Bei ya mifuko hiyo inatofautiana, huku mtaani bei ni 200, 300,500, 700, 1000 kulingana na ukubwa wa mfuko.
 
Turafika tu Mkuu
Uchumi kwa sasa umepanda kwa asilimia 6,4[emoji1321]‍♂️
 
Hii hapa mbadala
Screenshot_20190522-164620.jpeg
 
Back
Top Bottom