Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
...pamoja na matusi, kejeli na kashfa zinazotolewa dhidi ya CHADEMA na viongozi wake ukweli unabaki pale pale kuwa maisha yanazidi kuwa magumu. Wale wote wanaoisifia ccm hapa ukumbini na kwingineko wanaweza kusema watakalo na kwa muda mrefu watakavyo lakini reality inabaki pale pale: maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu.
Hadithi ya kuwa matatizo ya uchumi yapo nchi zote (wakati hata Burundi wanapiga hatua kwenda mbele huku sisi tukirudi nyuma) haitabadilisha reality kuwa maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu. Kuwatukana na kuwakejeli CHADEMA hakuwezi kuleta mabadiliko.
Maisha yatazidi kuwa magumu zaidi na zaidi kwa kuwa serikali haijui inachokifanya na wizi uliokithiri unazidi kukithiri na kukithiri. Kina Zomba (alipaswa kujiita Zoba) and the likes watabwata weeee hapa ukumbini lakini reality inabaki pale pale, kuwa maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu.
Hoja na zisizo hoja za serikali zitaungwa mkono "kwa asilimia 100 na zaidi" lakini reality itabaki pale pale kuwa maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu. Bahati mbaya kwa watawala ni kuwa mtaji wa ujinga wa watawaliwa haufai tena maana ujinga haufumbi ukweli kuwa maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu kwa watawaliwa.
Watawala kabilianeni na hali hii halisi kama mnaweza, mengine yooote ni bure maana reality itabaki kuwa maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu. Na ndicho kifo chenu 2015!
Hadithi ya kuwa matatizo ya uchumi yapo nchi zote (wakati hata Burundi wanapiga hatua kwenda mbele huku sisi tukirudi nyuma) haitabadilisha reality kuwa maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu. Kuwatukana na kuwakejeli CHADEMA hakuwezi kuleta mabadiliko.
Maisha yatazidi kuwa magumu zaidi na zaidi kwa kuwa serikali haijui inachokifanya na wizi uliokithiri unazidi kukithiri na kukithiri. Kina Zomba (alipaswa kujiita Zoba) and the likes watabwata weeee hapa ukumbini lakini reality inabaki pale pale, kuwa maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu.
Hoja na zisizo hoja za serikali zitaungwa mkono "kwa asilimia 100 na zaidi" lakini reality itabaki pale pale kuwa maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu. Bahati mbaya kwa watawala ni kuwa mtaji wa ujinga wa watawaliwa haufai tena maana ujinga haufumbi ukweli kuwa maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu kwa watawaliwa.
Watawala kabilianeni na hali hii halisi kama mnaweza, mengine yooote ni bure maana reality itabaki kuwa maisha ni magumu na yanazidi kuwa magumu. Na ndicho kifo chenu 2015!