Kwa yeyote mwenye uzoefu jeshin au mwenye taarifa za depo la jwtz linakuwaje tunaomba atujuze ili tuweze kujiandaa mapema tusije tukashindwa huko maporini tutakako pelekwa plz kumsaidia mtu ni jambo jema pia kwa kutupa taarifa ni msaada vile vile
usiogope kijana mazoezi si magumu sana..mimi kuna zoezi moja linaitwa "mapenzi ya nyoka" hili ni tamu sana maana mnakumbatiana na mwenzako alafu mnaanza kuviringika sasa utamu unakuja kama umepangiwa kufanya na jinsia tofauti basi unaweza maliza mambo yako hapo hapo hahahahaha:msela:
Jaman eeh imefika wakati watanzania tuache uzumbukuku na upumbave usio na kichwa wala mkia yani kuwaelezea watanzania wenzako jinsi jeshi linavyo waandaa wanajeshi wa tanzania mtu unasema ni siri za serikali? Mbona world faza aka USA mpaka mafunzo ya ufield marshal anayaweka mtandaoni ili vilaza sisi 3rd world countr na bado hatujifunzi, emu mwenye kujua atuabarishe,
Jaman eeh imefika wakati watanzania tuache uzumbukuku na upumbavu usio na kichwa wala mkia yani kuwaelezea watanzania wenzako jinsi jeshi linavyo waandaa wanajeshi wa tanzania mtu unasema ni siri za serikali? Mbona world faza aka USA mpaka mafunzo ya ufield marshal anayaweka mtandaoni ili vilaza sisi 3rd world countr na bado hatujifunzi, emu mwenye kujua atuabarishe,
Swala sio kuwa mwanaume au mwanamke swala ni kupata pre information ambazo zitatusaidia sisi kuweza kuhandle program za depo emu achen mambo ya ajab sio necessar saana kuchangia kama huna point ya msingi ya kuchangia it beta ubaki kimyaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.