Hali halis ya depo la jwtz

Hali halis ya depo la jwtz

Arno bano

Member
Joined
Aug 21, 2013
Posts
16
Reaction score
1
Kwa yeyote mwenye uzoefu jeshin au mwenye taarifa za depo la jwtz linakuwaje tunaomba atujuze ili tuweze kujiandaa mapema tusije tukashindwa huko maporini tutakako pelekwa plz kumsaidia mtu ni jambo jema pia kwa kutupa taarifa ni msaada vile vile
 
Utatakiwa ukalie sindano mbili za kushonea majamvi na hakikisha zisizame mat*koni!. Hii ni kukuzoesha ukakamavu.

Asisahau pia ishu ya kuvunja Nazi kwa ulimi ni moja kati ya mazoezi ya mwanzo kabisa Senzy
 
Kwa yeyote mwenye uzoefu jeshin au mwenye taarifa za depo la jwtz linakuwaje tunaomba atujuze ili tuweze kujiandaa mapema tusije tukashindwa huko maporini tutakako pelekwa plz kumsaidia mtu ni jambo jema pia kwa kutupa taarifa ni msaada vile vile

hakuna askar yeyote atakaekuambia kuhuau training za jesh zikoje.kama umeamua kwenda huko kubaliana na yote utakayokutana nayo.huwezi ukaweka hadharani namna unavyoa ndaa askar wako.hata mzaz wako kama ni askar hawez kukuambia nini hufa nyika wakat wa training
y
 
Kwa yeyote mwenye uzoefu jeshin au mwenye taarifa za depo la jwtz linakuwaje tunaomba atujuze ili tuweze kujiandaa mapema tusije tukashindwa huko maporini tutakako pelekwa plz kumsaidia mtu ni jambo jema pia kwa kutupa taarifa ni msaada vile vile

Mkuu kwa jeshi wameita watu au?...tuelewe kwanza hilo
 
Kwa yeyote mwenye uzoefu jeshin au mwenye taarifa za depo la jwtz linakuwaje tunaomba atujuze ili tuweze kujiandaa mapema tusije tukashindwa huko maporini tutakako pelekwa plz kumsaidia mtu ni jambo jema pia kwa kutupa taarifa ni msaada vile vile

Arno...nieleweshe kiongozi hawa jamaa wameshaita watu au niaje...sielewielewi jamani nielewesheni yafadhal coz na mm nasubili kwa hamu hz nafasi...
 
Arno...nieleweshe kiongozi hawa jamaa wameshaita watu au niaje...sielewielewi jamani nielewesheni yafadhal coz na mm nasubili kwa hamu hz nafasi...

Punguza presha we jipange kwa Jkt
 
braza just imagine umeelekezwa hapa hayo ukajiandaa ukaenda huko ukakuta siyo yenyewe utaondoka? jiandae na yote hata ukiambiwa upite kwny mtaro wa kinyesi cha nguruwe..na usomi utagoma? na ushaamua kwenda. cha muhimu tafuta pumzi
 
braza just imagine umeelekezwa hapa hayo ukajiandaa ukaenda huko ukakuta siyo yenyewe utaondoka? jiandae na yote hata ukiambiwa upite kwny mtaro wa kinyesi cha nguruwe..na usomi utagoma? na ushaamua kwenda. cha muhimu tafuta pumzi

Sijakuelewa mtu wangu fafanua kiongizi.
 
mkuu ukisimuliwa hapa watakumalizia uhondo wote, wewe nenda tu utakutana na hadithi zote huko, halafu ukirudi tutakuuliza ilikuwaje kama utataka kutuambia ilikuwaje..
 
Anza kufanya mwenyewe mazoezi ya kujiweka fit...maana nakumbuka nikienda mafinga siku wanafunga mafunzo yao,kwa kweli inahitaji moyo wa kijasiri sana kumaliza,simulizi nilizokuwa naambiwa pale na mdogo wangu ambae alimaliza ni za kusikitisha na ukiwa na roho ndogo hutomruhusu mwanao aende
Kitu kikubwa ni mwenyewe uwe umependa kwenda jeshini...kama umelazimishwa basi ni ngumu sana kumaliza.....sitaki kuandika nilivyokuwa nasimuliwa na dogo ambaye ye ni mwanajeshi sasa maana unaweza kuingiwa woga....kuuliza uliza ni kujitia woga ndg,we ukipass medical test yao basi we nenda kapambane
 
Back
Top Bottom