Hakutawahi kutokea Tanzania Rais kama Mzee Kikwete


JPM alifukuza wezi wangapi?
 
Alitupiga kwenye dowans
ALITUPIGA SANA ALIPOWAKABIDHI BANDARI YETU WASHIHIRI WA HOME SHOPPING CENTRE!! WALIKUWA WANAINGIZA MAKONTENA BILA KULIPA KODI NA MKWERE ALIKUWA ANACHUKUA MSHIKO WAKE KWAO!!!
 
Kwa hiyo kujua ufisadi wa escrow na richmond kumetusaidia nini? Yaani rais mwizi kama wizi wa escrow ni rais bora kuliko aliyethubutu kujenga Nyerere HP, kupanua viwanja vya ndege, kujenga hospital kwa wingi nk.

Sijaielewa akili yangu.
 
Mr.President ......naunga mkono hoja hata kimuonekano unasema yes huyu ni president na sio
... ....Mjanja ni Mjanja tu miaka mia.....!!
 
Kwa hiyo kujua ufisadi wa escrow na richmond kumetusaidia nini? Yaani rais mwizi kama wizi wa escrow ni rais bora kuliko aliyethubutu kujenga Nyerere HP, kupanua viwanja vya ndege, kujenga hospital kwa wingi nk.

Sijaielewa akili yangu.
Hiyo JKHP imekamilika, hivyo viwanja wa denge wewe maskini (mnyonge) vinakuhusu na hizo hospitali zina wahudumu na madawa? kiukweli hata mimi nashindwa kuielewa akili yako

Kwamba Jakaya hakufanya vya maana barabara za rami kuunganisha mikoa yote alijenga baba ako?, watoto wako hao wakimasikini bila Jakaya kujenga shule za kata leo wangesomaje hiyo elimu bure kabisa ya JPM?
 
JK - Julius Kambarage
JK - Jakaya Kikwette

Wote hao walikuwa maridadi kabisa. Hawa ndiyo wazee wa legacy.

Au nasema uongo ndugu zangu?
Mkuu katika utawala wa Nyerere ulikuwa na umri gani? Au unaongea kisiasa?
 
Maana yake nini?! Kwamba kutawahi kutokea kama Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Magufuli lakini siyo kikwete?!
Mwinyi, Mkapa, Kikwete na Magufuli wote ni walewale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…