Kawafanyia nini? huyu aliyekuwa anapokea sitting allowance za RA bungeni? huoni aibu mwanaume unakuwa unpokea posho ya mwanaume mwenzako? Haya tueleze kawafanyia nini?[/QUO
hana lolote, me nilikua kaliua october mwaka jana ni sehemu ya ajabu very primitive sijawahi ona katika nchi hii. walichonacho ni umeme tu kwa sababu kuna kituo cha treni, usalama sufuri, maji hakuna, kuna guest 3 na zote za kapuya ukichelewa utalala kwenye gari. Usalama sufuri. Wana umwinyi mbaya, yaani sijui nisemeje tu lakini ni sehemu mbaya mbaya mbaya sana jamani. Sina hamu napo
Kuna wabunge wengi wapo matumbo joto wakihofia kupoteza majimbo yao mwaka 2015 lakini sio kwa Prof JUMA ATHUMANI KAPUYA mbunge (CCM) wa URAMBO MAGHARIBI(Wilaya mpya Kaliua) hakika Kapuya ametutoa mbali na kamwe hatutamtosa amefanya mazuri mengi na bado anaendelea. Ni mbunge ambaye hana maneno mengi zaidi ya vitendo. MUNGU MBARIK KAPUYA NA IBARIK KALIUA.
Huyu mbunge Kapuya sijui ni Prof wa nini kwa kweli mie binafsi namuona kama ni mzigo kwa taifa!
Uwa nashangaa Prof mzima eti anamiliki bendi, Acudo Impact.
Kapuya ni GAMBA kubwa sana tena ni MDINI sana.I know him.
Mbona Komba anamiliki bendi ya taarab?
Duh! Huyu jamaa mwenye sifa ya Ushirikina, kutembeza mpini, kula jani na wizi/ufisadi bado tu anakuwa mdini??! Sidhani,! Huyu ni pagani tu hawezi kuwa mdini
Bendi gani?
Mzito Kabwela, Kapuya ni kama JK anavyowapendelea wavaa hijabu!