mshamba_mwingine
JF-Expert Member
- Jul 23, 2023
- 1,083
- 4,250
Sasa kwanini kuna serikali, na vyombo vya sheria?
Maadili yapo bila dini, ni kikundi flani cha watu ndo kinaamua kutunga na kusimamia sheria flani, hayo ndo maadili.
Na labda nikuambie tu, hata wanyama wana maadili, ya binadamu ni magumu kidogo kwasababu ya utashi na hisia
Mungu mwenyewe hayupo, anaangalia watu wanaokufa kila siku halafu uko hapa unazungumzia maadili
Maadili yapo bila dini, ni kikundi flani cha watu ndo kinaamua kutunga na kusimamia sheria flani, hayo ndo maadili.
Na labda nikuambie tu, hata wanyama wana maadili, ya binadamu ni magumu kidogo kwasababu ya utashi na hisia
Mungu mwenyewe hayupo, anaangalia watu wanaokufa kila siku halafu uko hapa unazungumzia maadili