Habari wanajamii wenzangu.
Nimeamini hakuna uganga wa kweli huku usukumani maana katikapitapita zangu kwa hawa wanaojiita waganga kila unayekwenda kumuona anakuambia umpe matatizo yako sasa kwanini asikupime yeye mwenyewe alafu akakuambia ukweli.
Na mbona anakuambia vitu ambavyo havipo na kibaya zaidi kazi unayompa haileti matokeo ya kweli.Hasa hapa Mwanza ndo kabisa wanakupa story tu. Naomba tuchangie kama hawa waganga kuna ambaye alishafanikiwa.
Nimeamini hakuna uganga wa kweli huku usukumani maana katikapitapita zangu kwa hawa wanaojiita waganga kila unayekwenda kumuona anakuambia umpe matatizo yako sasa kwanini asikupime yeye mwenyewe alafu akakuambia ukweli.
Na mbona anakuambia vitu ambavyo havipo na kibaya zaidi kazi unayompa haileti matokeo ya kweli.Hasa hapa Mwanza ndo kabisa wanakupa story tu. Naomba tuchangie kama hawa waganga kuna ambaye alishafanikiwa.