Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,614
Title yangu inaeleweka vyema. Kwamba ufalme ukiwa sehemu hauwezi kukubali kutumia ili ujifitini kupata mshindani.
Sasa kwenye vitabu vitakatifu kuna sehemu kumeandikwa mungu wa dunia hii. Alafu humo humo humo kumeandikwa kwamba Mungu ni mmoja, muumba mbingu na dunia.
Ilikuwaje akakubali kuachia sehemu yake na kumuachia mungu mwingine ambaye anaandikwa kwa herufi ndogo (Shetani)
Ikikuwaje akamruhusu huyo mungu wa dunia hii awatese waja wake wakati imeandikwa kwamba Mungu hawezi kumjaribu mtu?
Ilikuwaje akakubali mwanae wa pekee apate mateso ya kiukweli pale msalabani?
Je! maandiko hayo tuendelee kuyaamini wakati kuna tetesi wale walioyatafsiri tayari wameanza kuonesha kuwa yana mapungufu?
Nionavyo mimi ni kwamba tulilishwa matango pori. Mungu yupo ila sio huyo anayehubiriwa!
Mchango wako unahitajika sana!
Sasa kwenye vitabu vitakatifu kuna sehemu kumeandikwa mungu wa dunia hii. Alafu humo humo humo kumeandikwa kwamba Mungu ni mmoja, muumba mbingu na dunia.
Ilikuwaje akakubali kuachia sehemu yake na kumuachia mungu mwingine ambaye anaandikwa kwa herufi ndogo (Shetani)
Ikikuwaje akamruhusu huyo mungu wa dunia hii awatese waja wake wakati imeandikwa kwamba Mungu hawezi kumjaribu mtu?
Ilikuwaje akakubali mwanae wa pekee apate mateso ya kiukweli pale msalabani?
Je! maandiko hayo tuendelee kuyaamini wakati kuna tetesi wale walioyatafsiri tayari wameanza kuonesha kuwa yana mapungufu?
Nionavyo mimi ni kwamba tulilishwa matango pori. Mungu yupo ila sio huyo anayehubiriwa!
Mchango wako unahitajika sana!