Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Hata Ulaya Kuna wachezaji waliondoka kwenye timu zao zilizowapa umaarufu na hawakuvuma huko walikoenda,mfano ni Shevichenko!Alivyotoka tu AC Milan basi kwingineko kote alichemka!Sasa huko ameshindwa nini kuonyesha huo ufalme wake?!!na ni mala ya pili anakwenda kwa wanaojua anashindwa, ana kuwa kama wabongo!!
Mwingine ni Kezman Mateja,Adrian Mutu na wengine wengi tu!
So subiri arudi Simba halafu aende michuano ya kimataifa uone shughuli yake!