Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,052
- 24,442
Kufuatia tetesi zilizopo kumhusu mwamba wa Lusaka aliyewahi kucheza club ya simba, kisha kutimkia club ya Berkene na kuhusishwa kusajiliwa na yanga kwenye dirisha dogo, ni kwamba mwamba Triple C ameitosa na Yanga kwamba kamwe hawezi kupeleka miguu yake ya almasi utopolo!
Mwamba wa Lusaka kathibitisha rasmi kwamba ni suala la muda tu, kwamba moyo wake na nafsi yake ipo Simba na atarejea muda utakapofika!
Chama amepost picha kwenye account yake ya instagram, kwenye insta story zinazoonyesha namna alivyo na mapenzi na Simba!
Nyieeeeeee litakufa jitu!!
Mwamba wa Lusaka kathibitisha rasmi kwamba ni suala la muda tu, kwamba moyo wake na nafsi yake ipo Simba na atarejea muda utakapofika!
Chama amepost picha kwenye account yake ya instagram, kwenye insta story zinazoonyesha namna alivyo na mapenzi na Simba!
Nyieeeeeee litakufa jitu!!