gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,716
principle ni kwamba hakuna singo mother bila kuwepo irresponsible father periodMhhh hatari hapo kwenye kupasha kiporo...doh!
principle ni kwamba hakuna singo mother bila kuwepo irresponsible father periodMhhh hatari hapo kwenye kupasha kiporo...doh!
Tena hao wanaosema utakuta wana watoto kibao na kila mtoto na mama yake[emoji23]bora umesema mkuu loh ! utadhani single mother wameana mimba wao kwa wao mfyuu...
hakuna kujifariji.Hahahaha unajifariji[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
iyo ndo inaitwa irresponsible fatherTena hao wanaosema utakuta wana watoto kibao na kila mtoto na mama yake[emoji23]
Unakunywaga soda gani mkuu!! Maana wapo wanaojiona wasafi humu, makosa yote ni ya single mom ila mwanaume aliyemkimbia mtoto yeye ni msafi kabisa. Tufike mahali tuone kuwa pande zote mbili zina makosa jamani, wote ni binadamu na zaidi ni yule mtoto asiye na hatia.
Inaelekea unapenda sana kiporo brother!![emoji23]Mkuu single fathers ni wachache mnoo.... Matatizo yao hayajakuwa kwa kiwango kikubwa saana paka kufikia hatua ya jamii kulalamika. Ingawa yapo. Na hii inatokana na ukweli kwamba wanaume wengi sio waleaji Wa watoto hao walio wazaa pembeni au kabla ya ndoa.
Na wengi pia huamua kuoa pale inapotokea wametengana na ndoa zao za awali...
Ukiacha matatizo mengineyo.....lakini kupasha kiporo na mama wa mtoto wako 'muhimu'...
Japo sipo sirias saana.
Endelea kunywa naja kulipa. Kungekuwa na wanaume wengine wanne kama wewe humu jf tungekuwa mbaliHahahaha,nipatie kipotabo mkuu.[emoji23] [emoji23]
Kweli kabisa mkuu sisi wanaume sometimes tunapenda kukosoa upande wa pili bila kujiangalia sisi wenyewe.
Uko sawa kabisa mkuu.hakuna kujifariji.
kitendo chakuwa hambebi mimba, wala hamsukumi hakiwatoi nje ya ramani.
no singo mother bila irresponsible father
Hivi kuna mwanaume anayeweza kumkimbia mtoto kweli?[emoji51]Wadau habari zenu.
Naomba nijielekeze moja kwa moja kwenye mada husika.
Hivi karibuni kumekuwa na utitiri wa thread ambazo zinaletwa hapa na wadau mbali mbali ambazo kwa namna moja ama nyingine zimekuwa zikiwakashifu ama kuwatolea lugha chafu hawa mama zetu na dada zetu wanaishi na watoto au mtoto mmoja (single mothers), lakini tukiangalia kwa upande mwingine hakuna tofauti kati ya hao wanaoitwa single mothers na "single father" kama
Newton's second law of motion inavyosema "for every action there is equal and opposite reaction" hivyo penye single mother kuna single father vilevile na mambo yote ambayo yanasemwa kwa single mothers yanaweza kutokea kwa "single fathers" pia
Wengine wanadai kwamba kuoa single mother ni hatari kwasababu siku yeyote anaweza kukutana na baba mtoto na wangonoka,lakini swali linakuja, Je mwanaume ambaye ameoa na ana mtoto nje ya ndoa hawezi kungonoka akikutana na mzazi wa huyo mtoto,...kwanini iwe kwa mwanamke na si mwanaume.???.
Mwisho kabisa naomba sana sisi wanaume tuwashimu sana hawa mama zetu kwani asilimia kubwa ya matatizo yao sisi ndiyo tunawasabishia, na kwa upande mwingine tunajiabisha sisi wenyewe kwasababu mwanaume mwenye akili zake timamu hawezi kukimbia mtoto.
Asante mkuuHiyo ne Newton's 3rd law of motion, siyo second.
Pande Zote???? Hakuna Hiyo....mwanamke aruhusiwiInaelekea unapenda sana kiporo brother!![emoji23]
Basi kama ishu ni kupasha kiporo iwe kwa pande zote.
Kwanini sasaPande Zote???? Hakuna Hiyo....mwanamke aruhusiwi
Wanaitwaje!Hakunaga single father kama hujui...!
Duuh,nani kakwambia single fathers ni wachache? Au umefanya sensa?Mkuu single fathers ni wachache mnoo.... Matatizo yao hayajakuwa kwa kiwango kikubwa saana paka kufikia hatua ya jamii kulalamika. Ingawa yapo. Na hii inatokana na ukweli kwamba wanaume wengi sio waleaji Wa watoto hao walio wazaa pembeni au kabla ya ndoa.
Na wengi pia huamua kuoa pale inapotokea wametengana na ndoa zao za awali...
Ukiacha matatizo mengineyo.....lakini kupasha kiporo na mama wa mtoto wako 'muhimu'...
Japo sipo sirias saana.
Single fathers na hawaja oa....wengi wapo kwenye either ndoa au hawalei watotoDuuh,nani kakwambia single fathers ni wachache? Au umefanya sensa?
Wanaitwa baba tu basi, labda wale waliofiwa na mke..! Nao wanajina lao huitwa wagane.Wanaitwaje!