ZING SOKONI
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,512
- 57,105
Wadau habari zenu.
Naomba nijielekeze moja kwa moja kwenye mada husika.
Hivi karibuni kumekuwa na utitiri wa thread ambazo zinaletwa hapa na wadau mbali mbali ambazo kwa namna moja ama nyingine zimekuwa zikiwakashifu ama kuwatolea lugha chafu hawa mama zetu na dada zetu wanaishi na watoto au mtoto mmoja (single mothers).
Lakini tukiangalia kwa upande mwingine hakuna tofauti kati ya hao wanaoitwa single mothers na "single father" kama
Newton's third law of motion inavyosema "for every action there is equal and opposite reaction" hivyo penye single mother kuna single father vilevile na mambo yote ambayo yanasemwa kwa single mothers yanaweza kutokea kwa "single fathers" pia.
Wengine wanadai kwamba kuoa single mother ni hatari kwasababu siku yeyote anaweza kukutana na baba mtoto na wakangonoka
Lakini swali linakuja, Je mwanaume ambaye ameoa na ana mtoto nje ya ndoa hawezi kupasha kiporo akikutana na mzazi wa huyo mtoto,...kwanini iwe kwa mwanamke na si mwanaume.???.
Mwisho kabisa naomba sana sisi wanaume tuwashimu sana hawa mama zetu kwani asilimia kubwa ya matatizo yao sisi ndiyo tunawasabishia, na kwa upande mwingine tunajiabisha sisi wenyewe kwasababu mwanaume mwenye akili zake timamu hawezi kukimbia mtoto.
Naomba nijielekeze moja kwa moja kwenye mada husika.
Hivi karibuni kumekuwa na utitiri wa thread ambazo zinaletwa hapa na wadau mbali mbali ambazo kwa namna moja ama nyingine zimekuwa zikiwakashifu ama kuwatolea lugha chafu hawa mama zetu na dada zetu wanaishi na watoto au mtoto mmoja (single mothers).
Lakini tukiangalia kwa upande mwingine hakuna tofauti kati ya hao wanaoitwa single mothers na "single father" kama
Newton's third law of motion inavyosema "for every action there is equal and opposite reaction" hivyo penye single mother kuna single father vilevile na mambo yote ambayo yanasemwa kwa single mothers yanaweza kutokea kwa "single fathers" pia.
Wengine wanadai kwamba kuoa single mother ni hatari kwasababu siku yeyote anaweza kukutana na baba mtoto na wakangonoka
Lakini swali linakuja, Je mwanaume ambaye ameoa na ana mtoto nje ya ndoa hawezi kupasha kiporo akikutana na mzazi wa huyo mtoto,...kwanini iwe kwa mwanamke na si mwanaume.???.
Mwisho kabisa naomba sana sisi wanaume tuwashimu sana hawa mama zetu kwani asilimia kubwa ya matatizo yao sisi ndiyo tunawasabishia, na kwa upande mwingine tunajiabisha sisi wenyewe kwasababu mwanaume mwenye akili zake timamu hawezi kukimbia mtoto.