Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,260
- 40,282
Be a provider of value, not vibes. Invest in your plans, growth and legacy, not lust.
Don't be a simp.
Vijana wanatakiwa kuambiwa ukweli kwamba hawadaiwi chochote na wanawake.Vijana wadogo wanajiona masugar daddy.
Tukiwaambia madogo ukweli wanatujibu "tafuta hela". Wakishapigwa nyundo ya utosi na hao wanawaita soul mates ndio wanagundua hawana u-special wowote ila walikua wasumbufu tu.MSUMARI WA MOTO, LAZIMA KENCHI ICHANIKE๐ค
GONGA NYUNDO BABA,WATOTO WADOGO HAWAELEWI GAME INAVYOLOSTISHA MISSION ZAO.
๐NO REFORM,NO RELATIONSHIP.
Nakazia mangi ila sasa hawa madogo sijui maskio yao wamewekewa gundi yani hawaelewi niko na my young bro nilipa ushauri vizuri kabisa kama kaka yake nkamuambia ukishindwa kunisikikiza basi fuata hata matendo yangu ila wapi hawa madogo wanamioyo ya njiwa hawaelewi kabisaSikiliza dogo, hakuna mahusiano ya bure kwa mwanaume. Mapenzi yanagharimu muda, nguvu na hela, na hautarudishiwa chochote pale mahusiano yatakapofika tamati.
Mapenzi yakiisha hautarudishiwa gharama zako. Hautapewa hata shukrani tu ya kuambiwa "asante". Sasa kama usipokua mbinafsi wa muda na hela zako, utaishia kuwa mwekezaji mjinga. You will be that dump fool funding her glow-up for the next man.
Usijiwekee standard ambazo hauwezi kustahimili. Mapenzi yenu yameanza umekodi gari, umeenda kulala nae hotelini au lodge ya gharama n.k. Utaweza ku-maintain hicho ulichoanzisha? Don't build a lie that will drain your money trying to keep it alive. Simping it's not kindness, not romantic, it's self destruction.
Siku utakapoulizwa "nillikulazimisha kunifanyia hayo yote?", ndipo utakapojua wanaoua sio vichaa, wanakuaga na akili timamu kabisa
Siku zote tambua mahusiano huwa yanafika mwisho. Mwisho unaweza kuwa kifo, talaka au kuachana. Kwaiyo jilinde huo mwisho mahusiano yasikuache ukiwa broke and broken. Protect your assets, money, heart and mission. Because when it's over. She wont refund a single cent.
Be a provider of value, not vibes. Invest in your plans, growth and legacy, not lust.
Don't be a simp.
Usitupeperushie ndege wetuSikiliza dogo, hakuna mahusiano ya bure kwa mwanaume. Mapenzi yanagharimu muda, nguvu na hela, na hautarudishiwa chochote pale mahusiano yatakapofika tamati.
Mapenzi yakiisha hautarudishiwa gharama zako. Hautapewa hata shukrani tu ya kuambiwa "asante". Sasa kama usipokua mbinafsi wa muda na hela zako, utaishia kuwa mwekezaji mjinga. You will be that dump fool funding her glow-up for the next man.
Usijiwekee standard ambazo hauwezi kustahimili. Mapenzi yenu yameanza umekodi gari, umeenda kulala nae hotelini au lodge ya gharama n.k. Utaweza ku-maintain hicho ulichoanzisha? Don't build a lie that will drain your money trying to keep it alive. Simping it's not kindness, not romantic, it's self destruction.
Siku utakapoulizwa "nillikulazimisha kunifanyia hayo yote?", ndipo utakapojua wanaoua sio vichaa, wanakuaga na akili timamu kabisa
Siku zote tambua mahusiano huwa yanafika mwisho. Mwisho unaweza kuwa kifo, talaka au kuachana. Kwaiyo jilinde huo mwisho mahusiano yasikuache ukiwa broke and broken. Protect your assets, money, heart and mission. Because when it's over. She wont refund a single cent.
Be a provider of value, not vibes. Invest in your plans, growth and legacy, not lust.
Don't be a simp.
Tusiwakatie tamaaNakazia mangi ila sasa hawa madogo sijui maskio yao wamewekewa gundi yani hawaelewi niko na my young bro nilipa ushauri vizuri kabisa kama kaka yake nkamuambia ukishindwa kunisikikiza basi fuata hata matendo yangu ila wapi hawa madogo wanamioyo ya njiwa hawaelewi kabisa
Tatizo wakianguka mnawakimbia, halafu sisi mabroo ndio tunaangaika nao wainuke upya.Usitupeperushie ndege wetu
๐ ๐ Ila siwalipata asaliTatizo wakianguka mnawakimbia, halafu sisi mabroo ndio tunaangaika nao wainuke upya.
Kijasho cha master ni kama kinamtirika kwa mbali mwamba huyu
Si bora hata hao waliopata asali, ๐ kuna wanaume wanahonga na asali hawapewi Jane Msowoya๐ ๐ Ila siwalipata asali