Hakuna Red Brigade Kigoma?

Hakuna Red Brigade Kigoma?

Dr anakijenga chama au anakibomoa,watanzania wa leo wana matatizo luluki,umeme gharama juu,wafanyakazi wa serikali mushaara inachelewa,kwa hiyo ni busara kutumia pesa ya chama kwa ajili ya kumdhalilisha Zitto?kama anakijenga chama alikuwa wapi siku zote?siasa uchwara hizi za visasi azitusaidii,red brigedi ya kigoma ya nini?Wana kigoma wanamshukuru Zitto barabara za lami kila upande,uwanja wa ndege,nyumba za NSSF n.k
 
Dr anakijenga chama au anakibomoa,watanzania wa leo wana matatizo luluki,umeme gharama juu,wafanyakazi wa serikali mushaara inachelewa,kwa hiyo ni busara kutumia pesa ya chama kwa ajili ya kumdhalilisha Zitto?kama anakijenga chama alikuwa wapi siku zote?siasa uchwara hizi za visasi azitusaidii,red brigedi ya kigoma ya nini?Wana kigoma wanamshukuru Zitto barabara za lami kila upande,uwanja wa ndege,nyumba za NSSF n.k

yaani unavyo bwabwaja utadhani hata ukiwekwa kwenye MDAHALO pamoja naye DR. W. SLAA , lazima UKIMBIE.
 
Hayati mobutu seseko kuku wa bazanga aliwahi kusema ukiona imbwa iko juu ya muti ujue kuna mutu kaipandisha.

enheee, hii imekaa vizuri hii; labda tu niombe ufafanuzi kidogo mkuu wangu. Kwa hiyo hapo tuseme umbwa ndo ipi hasa, na mutu ndo ipi?
 
Ni kweli mkuu,

Hata hivyo Nimeongea na Makene Muda huu.Dr.Slaa yupo Jukwaani anaendelea na mkutano mkubwa.Anasema hadi CCM wameingia kusikiliza.Picha zitatumwa soon

Nimeipenda hii sana....sasa walikuja fanya nini?
 
Back
Top Bottom