chayowa1981
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 219
- 66
Ni kweli mkuu,
Hata hivyo Nimeongea na Makene Muda huu.Dr.Slaa yupo Jukwaani anaendelea na mkutano mkubwa.Anasema hadi CCM wameingia kusikiliza.Picha zitatumwa soon
am still waiting
Ni kweli mkuu,
Hata hivyo Nimeongea na Makene Muda huu.Dr.Slaa yupo Jukwaani anaendelea na mkutano mkubwa.Anasema hadi CCM wameingia kusikiliza.Picha zitatumwa soon
am still waiting
Dr anakijenga chama au anakibomoa,watanzania wa leo wana matatizo luluki,umeme gharama juu,wafanyakazi wa serikali mushaara inachelewa,kwa hiyo ni busara kutumia pesa ya chama kwa ajili ya kumdhalilisha Zitto?kama anakijenga chama alikuwa wapi siku zote?siasa uchwara hizi za visasi azitusaidii,red brigedi ya kigoma ya nini?Wana kigoma wanamshukuru Zitto barabara za lami kila upande,uwanja wa ndege,nyumba za NSSF n.k
Hayati mobutu seseko kuku wa bazanga aliwahi kusema ukiona imbwa iko juu ya muti ujue kuna mutu kaipandisha.
Ni kweli mkuu,
Hata hivyo Nimeongea na Makene Muda huu.Dr.Slaa yupo Jukwaani anaendelea na mkutano mkubwa.Anasema hadi CCM wameingia kusikiliza.Picha zitatumwa soon