Na ukiangalia kimo chao huwezi kubisha!
Hao ndio great thinkers wa siku hizi.mimi nimeongelea mambo ya red brigade. haya mengine yanatoka wapi jamani....
Mkuu Chabruma naona wanazitengenezea fremuhizo picha inachukua muda gani kuziweka humu?
kwa style hii ccm ni vizuri ikaondoka madarakani, yaani miaka 50 ya uhuru hakuna lami?
That's what i'm talking about....hii kitu! inaonesha kuna watu wako kwenye mission wamepania.
Kigoma wakiamua wameamua msafara kama wa mgombea udiwani
na ukiangalia kimo chao huwezi kubisha!
mnaendelea kutafuta picha za kuedit, tunavyowajua nyie kwa kupenda sifa picha zingekuwa zishakuwa uploaded kitambo sana!! hata jana za kahama mmeweka za mwaka 2011.....ukitaka kuwa muongo lazima uwe smart sana
hao ni green guard wa sisiu,hayati mobutu seseko kuku wa bazanga alisema hivi ukiona imbwa iko juu ya muti ujui kuna mutu kaipandisha.mmh...af hizi bunduki zinaonekana kuwa bunduki ukweli hizi!!!
Songa mbele Dr Slaa. Tuko na wewe daima.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ni kweli mkuu,
Hata hivyo Nimeongea na Makene Muda huu.Dr.Slaa yupo Jukwaani anaendelea na mkutano mkubwa.Anasema hadi CCM wameingia kusikiliza.Picha zitatumwa soon
Ni kweli mkuu,
Hata hivyo Nimeongea na Makene Muda huu.Dr.Slaa yupo Jukwaani anaendelea na mkutano mkubwa.Anasema hadi CCM wameingia kusikiliza.Picha zitatumwa soon