Mtego wa Noti
JF-Expert Member
- Nov 27, 2010
- 2,645
- 1,672
Wana Jf,
kuna wau wanasema eti kwa jinsi mambo yalivyo kwa sasa, hili li nchi ni kama halina Rais kwa sasa. Maana kila kitu kiko shagalabagala na hatujasikia mikakati yoyote ya kukabiliana na hali ngumu...
Wengine wanafikia hatua ya kusema eti mara ya mwisho nchi hii kuwa na Rais ni mwaka 2004, baada ya hapo, tumekuwa tukisonga mbele kwa kudra za mwenyezi Mungu.....
Kazi ipo!........................
kuna wau wanasema eti kwa jinsi mambo yalivyo kwa sasa, hili li nchi ni kama halina Rais kwa sasa. Maana kila kitu kiko shagalabagala na hatujasikia mikakati yoyote ya kukabiliana na hali ngumu...
Wengine wanafikia hatua ya kusema eti mara ya mwisho nchi hii kuwa na Rais ni mwaka 2004, baada ya hapo, tumekuwa tukisonga mbele kwa kudra za mwenyezi Mungu.....
Kazi ipo!........................