Hakuna Rais

Hakuna Rais

Jk na ccm mmeshuka thamani kama hela ya zimbabwe, ilopo waachieni wanaoweza waikombo TZ
 
Rais Yupo ila kazi zake nyingi ni zakuona na kutembelea wagonjwa, waliofiwa na kwenda kupumzika ng'ambo na hapa chini mkuu alipokwenda kumtembelea Vengu pale wodi ya Mwaisela.
311011_296945060323214_100000231689249_1207742_447902203_n.jpg
 
'serikali haiwezi geuka mvua........'wanaopata mimba ni kwa sababu ya viherehere vya.'hata mimi sijui kwa nini tanzania ni masikini'.....Kwa kauli kama hizi za rais unaweza sema tuna rais!yeye kama msemaji wa mwisho anatoa kauli rahisi kama lay man,watendaji wake watafanyaje?ndo maana hata wanadiriki kuwaambia wananchi watawashikisha ukuta(Nape)!Binafsi sina rais!mwenyewe ndo rais wa maisha yangu na familia yangu!
hapo kwenye red, inamaanisha taaluma ya uchumi aliyo nayo haijamsaidia chochote.
 
...wewe ndo unagundua leo kuwa hatuna president? Huu ni mwaka wa sita sasa ikilu imekuwa ikikaliwa na comedian wa Kikwele.
 
Rais ni taasisi Tanzania tu? Siyo kweli! Kauli ya Rais kama Rais, ni muhimu katika masuala mazito kama haya. Anaweza ku-delegate, kwa masuala mepesi. Asipotoa kauli katika suala zito, kama hili; atatoa kauli kwa jambo lipi?

Sikia kauli ya Rais wa Ghana, John Atta Mills; katika jambo hili, aliyoitoa tarehe 2 Novemba 2011, "I as President of this nation, will never initiate, or support; any attempt to legalize homosexuality in Ghana." HUYU NDIYE RAIS!
 
Back
Top Bottom