Hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja, mama usijidanganye

Sema hizo ameziweka nani na una uhakika gani kwamba ni lazima ziwork kwa wanaume wote.


Mimi sijasema lazima zi Work kwa kila mwanaume na hata kulingana na Uisilamu Mwanaume HALAZIMISHWI kuuoa zaidi ya mke mmoja, ila uhuru wa kuoa mke zaidi ya mmoja upo chini ya SHARTI la uadilifu, kama unazo sababu za kuoa mke zaidi ya mmoja na unajijua kwamba huwezi kuwatendea au kuwatimizia mahitaji na haja zao kwa uadilifu Allah anasema ni bora ubaki na mmoja.
 
Uoe wanawake wanne bila kuwa na kipato cha kuwahudumia kisa unawakaza sana kweli! Hiyo ilikuwa zamani sana. Hawa dada zetu wa sasa watakufanyia dharau za wazi kabisa ubaki unagombana nao kila siku.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Shida hapa sio kuoa, kinachotakiwa ni kuzalisha, asiwepo anaekosa mtoto kwakuwa amekosa mwanaume au mwanamke. Kupolewa ni Jambo lingine kabisa. Lakini pesa sio kigezo namba moja katika kuzaa, kwani hata majike ya Simba, kuku, mbuzi, kenge na nguchilo yanazaa lakini hayatunzwi na wanaume wao. Katika maisha ya kawaida wanawake hawahitaji kutunzwa hivyo, wanazalisha sana ili wanadhulumiwa na wanaume nguvu na mali zao. Wanawake wengine ni wabunge, wakulima, DC, wafugaji, wafanyakazi, wafanyabiashara, Marais nk. Wewe unaongelea viruka njia vinavyofuga kucha ndefu na kope bandia na kupaka carorite.
 
Hii nitakupinga sababu kuridhika kupo kwa aina tofauti kwa wanawake, tumesikia case mbalimbali kuna wanawake hawajawahi ridhishwa kwa namna unayosema wewe mpaka wamekufa, isipokua mwanamke akikutana wa wanaume mbalimbali ndo anaweza kujua kama mume wake alikua anamridhidhisha au la, vinginevyo anaweza kuridhika na mume wake mpaka kufa
Wanaume wengi wanaomba Mungu wake zao wasiwalalamikie kuwa hawatosheki. Ndio maana wanaume wamejaribu kuwakeketa wanawake ili wasijisikie utamu wakati wa kujamiana. Hii iliwawezesha wanaume kuwa na wanawake wengi bila wake zake kuwa na malalamiko juu yake au wasitoke nje ya ndoa wakati mume Yuko kwenye mzunguuko wa wakeze.

Hivyo, mwanaume anatamani mkewe asijue kupata orgasm (kupiga bao) hata siku moja. Yaani sex kwao ni pure kwaajili ya kuzaa na sio starehe. Shida Iko kwa mwanamke anaefahamu utamu wa kufikishwa kileleni halafu wewe ushindwe kufikisha huko. Lazima atatoka TU.
 
Hili halikuhusu na halihusiani na mada


Kana halinihusu kwanini uliliandika??!!, umeandika; "siwezi kuingiza akilini mwangu info from unknown sources"----- deduction from that saying of yours is:- All infos you have in your minds came from known sources, ndio maana nikakuuliza, je infos zote ulizonazo kichwani mwako unahakika zimetoka kwenye known sources???.

Ni sawa mtu aseme; "toka nizaliwe sijanywa kinywaji chochote"----- sasa tukimuhoji:- "je hujanywa hata maji??!!" -----kuhoji swali hilo ni kosa??
 
Nilichoona kwanini mwanamme anakuwa na mke zaidi ya mmoja kwasababu hawa wanawake wetu wanashindwa kutuliza mihemko ya mwanamme kwa kujifanya busy sana na hivyo kumfanya mwanamme "kibubu" kijae na hivyo kwenda kupunguza pembeni ,lakini m/ke akitimiza wajibu wake ipasavyo hakuta kuwa na mke zaidi ya mmoja.
 
Kana halinihusu kwanini uliliandika??!!, umeandika; "siwezi kuingiza akilini mwangu info from unknown sources"----- deduction from that saying of yours is:- All infos you have in your minds came from known sources, ndio maana nikakuuliza, je infos zote ulizonazo kichwani mwako unahakika zimetoka kwenye known sources???.

Ni sawa mtu aseme; "toka nizaliwe sijanywa kinywaji chochote"----- sasa tukimuhoji:- "je hujanywa hata maji??!!" -----kuhoji swali hilo ni kosa??
Hilo la kusema ni kosa umelitoa wapi? Nani amesema?

Nimekuambia hili suala halikuhusu wewe na halihusiani na muda...sio lazima wewe ulifahamu

Mambo / jambo lingine ukitaka kulifahamu linakupotezea muda bure na halitakusaidia...umeelewa?

Unakuwa kama Mtu mmbea mbea mwenye kutaka kufuatilia yasiyomhusu.
 
tatzo ww ukiwa malaya unahis na me wote wapo hivyo mkuu!!....kwa taarifa yako hakuna tofaut unayoitafta kwa mwanamke mwngne hali ni ileile tu!,,acha huo ujinga,tafta hela tunza familia yak na wtt hakikisha wanapata elimu ya kutosha pia wekeza kwaajili ya maisha ya uzeeni acha mambo ya jitoto jielewe,,tupo wanaume tulioridhika na wake zetu na hat siku mona huwaz kutembea na mchepuko..
Unadanganya mkuu unaposema hali ni ileile kwa wanawake wote, hiyo ni lugha ya kichovu zaidi kuliko uhalisia. Umbo, sura, sauti, tabia, ufundi wa kitandani, uhodari wa kujipamba na usafi, umbo la vagina, umri wa mwanamke, aliyezaa na ambaye hajazaa hivi vyote vinamtofautisha kati ya mwanamke huyu na yule. Hii ndio maana kuna wanaume wanajinyonga kwasababu ya mwanamke fulani, au wanaume wanapigania mwanamke fulani. Wasingepigania kama hali ni ileile kwa kila mwanamke. Variety is the spice of life.

Lakini, mwanaume halisi hachagui vagina, ndio maana hata vichaa, vilema, maskini, "wabaya", mbilikimo, wanene, wembamba wote wanazalishwa. Ninamaanisha kuwa mwanaume akishikwa kisawasawa na hamu sex aliyeko karibu yake na anayepatikana ndiye atashuhulika nae. Ndiyo maana inashauriwa watoto wa kike wachukue tahadhari dhidi ya wanaume wote bila kujali kuwa ni baba yake, kaka yake, babu yake, mjomba, baba wa kambo, mchungaji, askofu, sheikh, maalim wa madrasa au mwalimu wake wa shule/chuo. Wasipende kubaki peke yao na mwanaume wa aina yeyoye chumbani, ofisini, au sehemu yoyote.
 
Kama wanachepuka wakati wanao wake zaidi ya mmoja je hali ingekuaje kama wangalikuwa na mke mmoja tu??!!.
Binadamu wana tabia ya kukinai, kuzoea na kuboreka. Binadamu ana tabia ya kupenda kujaribu kipya, ndio maana ya "kipya kinyemi"

Maranyingi binadamu hapendi kitu Cha zamani, anakaa na kubaki nacho hata kama hakitaki kwasababu za mazoea TU, yaani nimemzoea, ndiyo maana ya "mazoea yana tabu" na "usiache mbachao kwa msala upitao". Misemo hii isingekuwepo kama tatizo la kupenda vipya lisingekuwepo mwenye jamii.

Mwenye Mke mmoja au mume mmoja ana kasoro ya kuvumilia kitu asichokipenda sawa na mtu anayevumilia harufu ya chooni au ya dampo. Ukikaa sana chooni au karibu na dampo kwa muda mrefu mwishowe harufu inapotea puani kwako Ila kwa mgeni, yaani kwao wanaishi Ile misemo ya "yakale ni Dhahabu, mazoea yana tabu, usiache mbachao kwa mshale upitao, present is known and secure". Yaani wako tayari ya kucheza na kusifu nyimbo za akina Mbaraka Mwishehe, Cuban Malimba, Daudi Kabaka, Juma Kilaza na Salim Abdala na wakupinda akina Diamond, Harmonize, Ali Kiba, Zuchu, nk.
 
nawe pia pole yako na mijanamke yako..🥴
MwenyeziMungu anamtaka mgonjwa apunzike hadi hapo atakapopata ahueni. Kama afya yako ni ya Mke mmoja usilaumie lakini usitake kila mwanaume awe kama wewe, dunia haitakuwa dunia. Yaani, ukiwa na majike 10 ya ng'ombe lazima uwe na madume 10 pia. Kama Mungu hakufanya hivyo kwa viumbe wengine hawezi kufanya tofauti kwa binadamu kama vile ambavyo hakutofautisha kwenye kujamiana, kula, kukojoa, haja kubwa, kujisikia maumivu, kujisikia usingizi, kupumua, moyo kudunda, kuwa na damu, mahitaji ya oxygen, nk. Msitengeneze mungu wenu vichwani.
 
Hilo la kusema ni kosa umelitoa wapi? Nani amesema?

Nimekuambia hili suala halikuhusu wewe na halihusiani na muda...sio lazima wewe ulifahamu

Mambo / jambo lingine ukitaka kulifahamu linakupotezea muda bure na halitakusaidia...umeelewa?

Unakuwa kama Mtu mmbea mbea mwenye kutaka kufuatilia yasiyomhusu.



Wewe unashangaza sana, hivi haya maneno:- "siwezi kuingiza info akilini mwangu from unknown source", ni maneno ya nani na yanahusu kitu gani na ulikuwa unamuambia mtu gani???--- hebu weka akilini (kama unayo) hayo maswali kwanza.

Unasema mimi ni mbeya mbeya kukuuliza hilo swali!!!, na mimi nasema wewe ni muongo muongo unaposema kwamba; "huwezi kuingiza info akilini mwako from unknown sources" wakati huo huo hizo nukta (infos) ulikwisha zisoma (ziingiza akilini mwako) na ndio maana baada ya kuziingiza akilini mwako ukahitaji source zake.

kumbuka kwamba akili ya binadamu inaingiza vitu vingi kutoka sources tofauti ila kinachotakiwa ni kuzichuja (digesting the infos) ili kujua ukweli na usahihi wake na ndio maana mimi nilikuuliza juu ya hizo nukta za kuoa mke zaidi ya mmoja, je zinaingia akilini???.

Ulichotakiwa kuomba ni Source tu ya nukta hizo na sio kujimwambafai kwamba eti; huwezi kuingiza info akilini mwako from unknown sources kana kwamba akili yako sio ya mtu hai (dynamic) bali ya mfu (static).

Kumbuka usiwe unaandike vitu irrelevant na mada ili usijesutwa uongo baadaye.
 
Binadamu wana tabia ya kukinai, kuzoea na kuboreka. Binadamu ana tabia ya kupenda kujaribu kipya, ndio maana ya "kipya kinyemi"

Maranyingi binadamu hapendi kitu Cha zamani, anakaa na kubaki nacho hata kama hakitaki kwasababu za mazoea TU, yaani nimemzoea, ndiyo maana ya "mazoea yana tabu" na "usiache mbachao kwa msala upitao". Misemo hii isingekuwepo kama tatizo la kupenda vipya lisingekuwepo mwenye jamii.

Mwenye Mke mmoja au mume mmoja ana kasoro ya kuvumilia kitu asichokipenda sawa na mtu anayevumilia harufu ya chooni au ya dampo. Ukikaa sana chooni au karibu na dampo kwa muda mrefu mwishowe harufu inapotea puani kwako Ila kwa mgeni, yaani kwao wanaishi Ile misemo ya "yakale ni Dhahabu, mazoea yana tabu, usiache mbachao kwa mshale upitao, present is known and secure". Yaani wako tayari ya kucheza na kusifu nyimbo za akina Mbaraka Mwishehe, Cuban Malimba, Daudi Kabaka, Juma Kilaza na Salim Abdala na wakupinda akina Diamond, Harmonize, Ali Kiba, Zuchu, nk.


Na ndio maana Mungu akaruhusu mtu kuoa zaidi ya mke mmoja alijua wapo baadhi ya watu watakinai mke mmoja.
 
MwenyeziMungu anamtaka mgonjwa apunzike hadi hapo atakapopata ahueni. Kama afya yako ni ya Mke mmoja usilaumie lakini usitake kila mwanaume awe kama wewe, dunia haitakuwa dunia. Yaani, ukiwa na majike 10 ya ng'ombe lazima uwe na madume 10 pia. Kama Mungu hakufanya hivyo kwa viumbe wengine hawezi kufanya tofauti kwa binadamu kama vile ambavyo hakutofautisha kwenye kujamiana, kula, kukojoa, haja kubwa, kujisikia maumivu, kujisikia usingizi, kupumua, moyo kudunda, kuwa na damu, mahitaji ya oxygen, nk. Msitengeneze mungu wenu vichwani.
HAKUNA ALIYETENGENEZA MUNGU WAKE HAPA! SISI TUNAJADILI KUTOKANA NA HEADED YA BWNA MWANDISHI SOMA TENA KICHWA CHA HABARI BOSS..😊
 
Wewe unashangaza sana, hivi haya maneno:- "siwezi kuingiza info akilini mwangu from unknown source", ni maneno ya nani na yanahusu kitu gani na ulikuwa unamuambia mtu gani???--- hebu weka akilini (kama unayo) hayo maswali kwanza.

Unasema mimi ni mbeya mbeya kukuuliza hilo swali!!!, na mimi nasema wewe ni muongo muongo unaposema kwamba; "huwezi kuingiza info akilini mwako from unknown sources" wakati huo huo hizo nukta (infos) ulikwisha zisoma (ziingiza akilini mwako) na ndio maana baada ya kuziingiza akilini mwako ukahitaji source zake.

kumbuka kwamba akili ya binadamu inaingiza vitu vingi kutoka sources tofauti ila kinachotakiwa ni kuzichuja (digesting the infos) ili kujua ukweli na usahihi wake na ndio maana mimi nilikuuliza juu ya hizo nukta za kuoa mke zaidi ya mmoja, je zinaingia akilini???.

Ulichotakiwa kuomba ni Source tu ya nukta hizo na sio kujimwambafai kwamba eti; huwezi kuingiza info akilini mwako from unknown sources kana kwamba akili yako sio ya mtu hai (dynamic) bali ya mfu (static).

Kumbuka usiwe unaandike vitu irrelevant na mada ili usijesutwa uongo baadaye.
Kumbe wewe msutaji? Ndio mana nimekuambia una umbea na tabia za kusuta ni za Wanawake wambea wambea wa uswahili wasio na kazi za maana za kufanya zaidi ya kuchunguza maisha ya watu na kufanya umbea
 
Kumbe wewe msutaji? Ndio mana nimekuambia una umbea na tabia za kusuta ni za Wanawake wambea wambea wa uswahili wasio na kazi za maana za kufanya zaidi ya kuchunguza maisha ya watu na kufanya umbea


Ukileta uongo hadharani bila ushahidi watu tutataka ushahdi ukishindwa kuuleta ni lazima USUTWE tu.
 
Back
Top Bottom