Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
Kawaida sana, hitaji la mwili hilo kwani hujui
Busara iliyotukuka hiiNimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.
Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.
Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70
Sikukuu njema.
Miss NAKUTAFUTA SANA Jamani.Nimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.
Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.
Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70
Sikukuu njema.
Hahahhhhahaaa vipi umeukwepa mtego wake tayari au bado dalili za kuliwa zipo muda wowote kuanzia sasamtu anataka anigegede hivihivi kweli jamani?
SHIKAMOOoyoooooooooooooo oyooooooooooooooooo
maneno kuntu
Nipo miss!wafikisha kileleni hawapo
Mh..ngoja nikafuturuoyoooooooooooooo oyooooooooooooooooo
maneno kuntu
KASONSOVOYA. Msamiati. Katerero fulani hiviSio kweli,napinga tena kwa herufi kubwa,inategemea na sio wote,natoa mfano kwang,Mimi kuna kiwango cha mwanamke akikizi vigezo nakunja bila tabu,kama hujakizi huezi nishawishi hata ukikileta umekitandazia money,.
nishakua na mahusiano kadhaa ambayo hayakudumu,namkumbuka dem flan wale wanao keketwa alikua anapenda sana mapenzi na hatosheki,sababu alikua hasikii chochote,sasa nikamtafutia ka style kake nikakapa jina la KASONSOVOYA (msiniulize picha),nilikua nikimpa hicho kijistyle hamu yake yote inakata tunakaa hata 3 or 4 week bila kudu na hanisumbui,sababu nikua anakua hana hamu tena ya mapenzi,mpaka irudi ni muda umepita,
Ile hali mpaka leo imenifanya nakua sina hamu kabisa na vichenchede,hata mtu nilienae sasa nikimpaga kasonsovoya anakaa muda bila tabu,madem nawaona kama Dada zangu,hivyo sio wote tunapenda do me I do u.
Sasa Ulitegemea tumepewa vikojoleo vya kutembelea.
Mpango wetu ule ule tunza bikra tukafaidi mbinguni.
dada yako unamwelewa kweli?Basi Sawa
msema kweli mpenzi wa MUNGUNapenda sex jamani mie..lakini na mtu ninayempenda!
Umeponea kwenye tundu nini? Na aliyekukosa anajilaumu sana kujiona mzembe sana kushindwa kuivua, pole yakeNimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.
Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.
Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70
Sikukuu njema.