Njoo uchukue kiroho safii mwayaahaaaaa kweli wkend hii nywele zimefumuka balaa
Dah... huyo jamaa mjinga sana ...anyway nisiongee sana.kuna mkaka nilimpenda awe rafiki yangu kavunja urafiki kisa sijampa papuchi .ni fair kweli?
Sawa kama hujaliwa ila sio vizuri kuturushia ndege zetu humu tafadhalisijaliwa jamani
Sio kweli,napinga tena kwa herufi kubwa,inategemea na sio wote,natoa mfano kwang,Mimi kuna kiwango cha mwanamke akikizi vigezo nakunja bila tabu,kama hujakizi huezi nishawishi hata ukikileta umekitandazia money,.
nishakua na mahusiano kadhaa ambayo hayakudumu,namkumbuka dem flan wale wanao keketwa alikua anapenda sana mapenzi na hatosheki,sababu alikua hasikii chochote,sasa nikamtafutia ka style kake nikakapa jina la KASONSOVOYA (msiniulize picha),nilikua nikimpa hicho kijistyle hamu yake yote inakata tunakaa hata 3 or 4 week bila kudu na hanisumbui,sababu nikua anakua hana hamu tena ya mapenzi,mpaka irudi ni muda umepita,
Ile hali mpaka leo imenifanya nakua sina hamu kabisa na vichenchede,hata mtu nilienae sasa nikimpaga kasonsovoya anakaa muda bila tabu,madem nawaona kama Dada zangu,hivyo sio wote tunapenda do me I do u.
Huyo kavunja sheria za kutongoza,,Dah... huyo jamaa mjinga sana ...anyway nisiongee sana.
Rada zangu hazijawahi niangusha kwenye hilo...ahahaaa uliniona?

mfyuuiiNimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.
Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.
Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70
Sikukuu njema.


Toroka uje huku tatizo mnakutana na wanaume milegezo na wala chipsi ambao ni wanaume jinsi tu lakini hawana lolotewafikisha kileleni hawapo
Umeyajuaje bila kuyafanya?Nimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.
Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.
Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70
Sikukuu njema.

Jamani roho mbaya hiyo ujue.....tumepewa bure atimtu anataka anigegede hivihivi kweli jamani?
