Hakuna mwanaume asiyependa ngono

Hakuna mwanaume asiyependa ngono

Nimepanda hapo mwisho tu,MWENYEKITI WA CHAPUTA KINA MAMA
 
Nimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.

Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.

Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.

Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.

Sikukuu njema.
Hamna jeuri hyo..nyie ni wadhaifu mno utabanaaaa mwisho unanyanyua miguu juu watu wanaweka
 
Nimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.

Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.

Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.

Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.

Sikukuu njema.
Alas! Kwahiyo wanawake hawapendi ngono? Kumbe unapogegedwa huoni raha? Usitudanganye aise. Kwani yule ajuza wa kifaransa alifata nini kwa mtoto wa shule wa miaka 14 aitwaye Emmanuel Macron kama si mgegedo? Mama alikuwa na mume na watoto watatu, lakini mgegedo wa mumewe haukumtosha akatafuta damu changa! Hata leo wapo wengi tu wanawake wanaozengea viserengeti. Ngono mnapenda, kuwa mkweli tu. Tofauti iko katika kubahatisha kupata inayokutosha na ujasiri wa kuiendea, mnasubiri kutongozwa. Sasa inapotokea unaowataka hawakujii ndiposa unakuja na hizi za 'sizitaki mbichi hizi'!
 
wafikisha kileleni hawapo
Dada yangu mapenzi ni matamu sana ukimpata mtu sahihi. Km ungekuwa na mtu sahihi hii thread wala usingeiandika.
Kiukweli, mpaka sasa bado nipo na mke wangu japo changamoto za mapenzi haziishi lkn naenjoy sana. Sina mchepuko sbb naamini kitu alichonacho ndicho anacho mke wangu. Nimeridhika na mke wangu.
Ukipata mtu sahihi unaenjoy sana mapenzi. Naenjoy sanaaaaaaaa
km tumeoana kwann nisitake tamuu?
 
Sio kweli,napinga tena kwa herufi kubwa,inategemea na sio wote,natoa mfano kwang,Mimi kuna kiwango cha mwanamke akikizi vigezo nakunja bila tabu,kama hujakizi huezi nishawishi hata ukikileta umekitandazia money,.

nishakua na mahusiano kadhaa ambayo hayakudumu,namkumbuka dem flan wale wanao keketwa alikua anapenda sana mapenzi na hatosheki,sababu alikua hasikii chochote,sasa nikamtafutia ka style kake nikakapa jina la KASONSOVOYA (msiniulize picha),nilikua nikimpa hicho kijistyle hamu yake yote inakata tunakaa hata 3 or 4 week bila kudu na hanisumbui,sababu nikua anakua hana hamu tena ya mapenzi,mpaka irudi ni muda umepita,

Ile hali mpaka leo imenifanya nakua sina hamu kabisa na vichenchede,hata mtu nilienae sasa nikimpaga kasonsovoya anakaa muda bila tabu,madem nawaona kama Dada zangu,hivyo sio wote tunapenda do me I do u.
 
Nimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.

Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.

Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.

Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.

Sikukuu njema.
.... Yaan we mjidanganye tu waqt ndo udhaifu ni asili yenu
 
Wanaume roho zimejaa tamaa, Yaani kitu kidogo unamsahau demu au mke wako, SMS hiyo tuu watu imesimama
 
Back
Top Bottom