NdikiNdikika
Member
- Sep 24, 2017
- 12
- 25
Gari halitaki mafuta, linahitaji mafuta. bila mafuta gari haliendi. Mwanaume hatakinsex anahitaji sex.
hii ndo sababu mwanaume hana mzunguko wa mwezi. siku yeyote saa yeyote yuko tayari.
ni baadhi tu ya maneno yanayopatikana katika semina/mafundisho haya. je unayaonaje? je unadhani yuko sahihi?
hii ndo sababu mwanaume hana mzunguko wa mwezi. siku yeyote saa yeyote yuko tayari.
ni baadhi tu ya maneno yanayopatikana katika semina/mafundisho haya. je unayaonaje? je unadhani yuko sahihi?