Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,038
- 2,189
Ha ha ha....ngoja niongeze muda kidogo2yrs umechoka? mimi ninaenda 4yrs na sioni dalili ya kutoka naona tu vibaka wa papuchi wamenizunguka
Ha ha ha....ngoja niongeze muda kidogo2yrs umechoka? mimi ninaenda 4yrs na sioni dalili ya kutoka naona tu vibaka wa papuchi wamenizunguka
kuna faida gani kumtetemekea mwanaume kwenye mahusiano hata hujui future yake,unatumika wee ,au unatembea na mume wa mtu unagegedwa kwa wizi .maisha gani hayo si bora ukae tuHa ha ha....ngoja niongeze muda kidogo
usikubali tunza bikira yako!!!
Utambwela wee mwisho utaikalia tu. Mwanamke kukwepa dyudu ni ngumuNimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.
Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.
Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70
Sikukuu njema.
kuna mkaka nilimpenda awe rafiki yangu kavunja urafiki kisa sijampa papuchi .ni fair kweli?Umetendwa nini mama!!!!?
Kweli madame.....usiku ikifika anapeleka kengele zake kwa mkewe tena anakuonya usinipigie cm nitakua na wifekuna faida gani kumtetemekea mwanaume kwenye mahusiano hata hujui future yake,unatumika wee ,au unatembea na mume wa mtu unagegedwa kwa wizi .maisha gani hayo si bora ukae tu
huwa nashangaa sana wanawake wanaoishi maisha ya hivo .nachukia sana unafikiKweli madame.....usiku ikifika anapeleka kengele zake kwa mkewe tena anakuonya usinipigie cm nitakua na wife
Mbiguni hawagegedaniSasa Ulitegemea tumepewa vikojoleo vya kutembelea.
Mpango wetu ule ule tunza bikra tukafaidi mbinguni.
sijaanza mimi kuishinda hamuUshauri wako ni wa kinadharia zaidi.Huwezi kushindana na Hamu.
Mbinguni tunapewa mizigo 70 shekh na nguvu ya kutumia miaMbiguni hawagegedani
Ni nani ambaye aliweza kuishinda hamu?sijaanza mimi kuishinda hamu
Ni kwa wakati tu huu wa wazee wa hit and run. Ili akipatikana mwenye lengo la kuoa na mahari akatoa. Lazima uoleweyaani watasubiri sana .sigegedeki
2yrs umechoka? mimi ninaenda 4yrs na sioni dalili ya kutoka naona tu vibaka wa papuchi wamenizunguka







Acha kutupeperushia ndege wetu kama wew hutaki achaaaaaaaa alaaaaah!!!!Nimegundua maisha ni uhuni mtupu, hakuna mwanaume asiependa ngono hata awe 'decent' vipi ukikaa vibaya unaliwa tu. Utashangaa ushaachiwa manyoya, vaa chupi ya chuma na ivue kitandani kwako tu.
Nawashauri wanawake wenzangu tujiheshimu, tuwe na principle zetu. Usimuonee mtu huruma wala nini, hakuna jipya.
Bora kuwa mpweke kuliko kuwa na mahusiano ya kugegedwa.
Mwenyekiti wa CHAPUTA-kinamama.
tunza bikra tukafaidiwe mbinguni na alshababu.kwenye bikra zao 70
Sikukuu njema.
kuna faida gani kuzini mkuu? mtu ana mke wake,au hataki mahusiano na wewe ila anataka papuchi .si bora uache tu
Kwa kutumia comment hizi mbili nimeshaelewa kilicho mkumba mleta mada. Haki si bure eti. Wewe itakua umetendwa.kuna faida gani kumtetemekea mwanaume kwenye mahusiano hata hujui future yake,unatumika wee ,au unatembea na mume wa mtu unagegedwa kwa wizi .maisha gani hayo si bora ukae tu