Kumkemea raisi, kumuita raisi mjinga, hana washauri, dikteta uchwara, hajui anachokifanya, hayo ni matusi.
Tunajua huu uhuru wa kusema mnawaiga Marekani . Sasa wamarekani tunawaambia hakuna viongozi wa upinzani wa aina hii Marekani.
Heshima ya mtu ni kitu muhimu. Huwezi kusema rais anavunja katiba wakati wewe mwenyewe unadhalilisha utu wa rais katika kufikisha ujumbe wako. Wewe pia unavunja katiba kwa kufanya hivyo.
Msiturudishie upinzani wa kina Jonas Savimbi.
Kuna kiongozi mmoja wa upinzani simtaji jina katika hotuba zake lazime atishie kumwagika damu. Na kwenye hii hotuba ya juzi rais wa Tanzania kafananishwa na mfalme wa Ufaransa aliyechinjwa.
Give me a break! Hakuna siasa za hivyo Marekani.
Tunajua huu uhuru wa kusema mnawaiga Marekani . Sasa wamarekani tunawaambia hakuna viongozi wa upinzani wa aina hii Marekani.
Heshima ya mtu ni kitu muhimu. Huwezi kusema rais anavunja katiba wakati wewe mwenyewe unadhalilisha utu wa rais katika kufikisha ujumbe wako. Wewe pia unavunja katiba kwa kufanya hivyo.
Msiturudishie upinzani wa kina Jonas Savimbi.
Kuna kiongozi mmoja wa upinzani simtaji jina katika hotuba zake lazime atishie kumwagika damu. Na kwenye hii hotuba ya juzi rais wa Tanzania kafananishwa na mfalme wa Ufaransa aliyechinjwa.
Give me a break! Hakuna siasa za hivyo Marekani.