Alvajumaa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 5,467
- 6,905
Nami nilitaka kusema hili, yaan akipatwa tatizo kidogo tuu anakuja humu kujaza saver,Yaani siki hizi kila mtu kawa mtaalamu wa mahusiano.
Watu wamekuatana na changamoto na maisha yanasonga, hakika vijana wa kileo tuna vingi vya kujifunza