Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,271
- 11,764
Kunywa soda hapo kwa mangi bill yangu
Me baba yangu na mama yangu wote ni waajiriwa wa serikali lakini sijawahi kuona baba akimsubiria mama anunue kitu flani kwasababu na yeye Ana mshahara. Baba anasimamia shoo mwanzo mwisho ili matumbo yetu yashibe, tuvae na tusome. Pia anasimamia maendeleo ya familia.
Bila kujali kusimamia shoo baba kwa gharama zake tena alimsaidia mkewe yani mazaa kuongezea elimu hadi kufikia kadiploma ka fani yake (awali aliishia cheti tu).
Sa why mwanaume upigie hesabu kipato cha mkeo? Yeye atoe tu akipenda ila usimlazimishe.
wanaume ni kama watoto dear, tuwalee tuHeheh gram mbili kwa sanamu nzimaaa?
Hawa wanaume wa humu washakugeuza moyo ...shogaa hawa wanaume watakutoa machoo...unaona ninavyopondwaaa? Eti nitakuwa wale wenye mdomo
Gubu haliwezi kuwepo upendo ukitanguliaMume mwenye upendo akikutana na mwanamke mwenye gubu mara nyingi hufa mapema kwa magonjwa ya sukari/presha
Kabisa mkuu,Zqmani kulikuws na wanaume!!!!!
Siku hizi kuna jinsia ya kiume.
Tulee watoto wetu wawe wanaume!!!!!
Wanaume wakiamua kuwa wanaume mbona dunia ni salama sana, wanawake tumeumbwa na moyo wa upendo na uvumilivu sanaWanapinga sana ila kuna mahali wamefeli sasa wanahamishia mzigo kwetu. Hebu waamue kuwa wanaume halafu tuone nini kitafuata.
Umenena Ukweliunajuaje kwamba sijawahi kuwa na ndoa mkuu?
kheeeNina mahusiano na mjomba wangu
Kwa kweli mjomba anakula chakula kitamu sana Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile appSio vitamu sanaa kiasi tuwww.jamiiforums.com
Hapo sasa ndiyo kazi ilipoSi mpaka wakuelewe
Nina mahusiano na mjomba wangu
Baada ya mapenzi kunipiga nimeamua kutembea na mjomba wangu ambaye ni binamu wa mama yangu. Ananiridhisha sana, ananipatia chochote ninachotaka, ananijali, yuko tayari hata kuzaa na mimi ila kwa sharti la kufanya siri. Naomba ushauri wenu kama ninakosea au vipi. ==== Updates kulingana na maoni...www.jamiiforums.com
Ova
Nini cha ajabuNina mahusiano na mjomba wangu
Baada ya mapenzi kunipiga nimeamua kutembea na mjomba wangu ambaye ni binamu wa mama yangu. Ananiridhisha sana, ananipatia chochote ninachotaka, ananijali, yuko tayari hata kuzaa na mimi ila kwa sharti la kufanya siri. Naomba ushauri wenu kama ninakosea au vipi. ==== Updates kulingana na maoni...www.jamiiforums.com
Ova
HongeraNini cha ajabu