VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 8,898
- 14,077
Haya hapo kwenye kona usi-over-take sasaNitajuaje? Nakupokea utakavyokuja!
Haya hapo kwenye kona usi-over-take sasaNitajuaje? Nakupokea utakavyokuja!
Lete connectionKuogesha vizee vya kizungu na kuvifanyia massage
Unataka na wewe ukaifanye?Lete connection
Unaongea sana..Unataka na wewe ukaifanye?
Basi geukia kibla na usipige kelele sanaUnaongea sana..
dah! Inasikitisha sanaShimo la mwanamke halijai, na limeumbwa kupokea tuu.
Unaenda na mwanamke hotel kula, kinabaki chakula anafunga kwenye tissue anatia kwenye mkoba.
Wanawake wana dunia yao.
😀 Changu ni changu, hakiombeki.Ndoa zenyewe mnazowatoshia watu sasa🤢🚮View attachment 3559401
💯😀 Changu ni changu... Hakiombeki.
Kuna relationship na Ownership.
Nadhani hii ni ownership.
Hapana!! NakataaNgoja niwaze nje ya box.. 🤔
Labda pengine mume wa huyo dada hana pesa ya kujaza mafuta gari zote mbili. (maana ukimpa mke gari moka, maana yake inabidi umpe na mafuta ya kupigia misele) so jamaa kaona ni bora itumike bajaj ili mke atumie kwa usafiri.
HAPANA!!!Mbili, labda jamaa anaamua kum-stretch mkewe to the limit ili ampime tabia.
Tatu... Ukute labda gari ni za mkopo na bado jamaa anataka mpaka amalize mkopo gari zikiwa hazina mikwaruzo.
Inawezekana ila ndio amwambie aendeshe gari la nani??Nne... Labda kuna kitu, na wote wawili hawaaminiani kwenye ndoa yao.
Tano... Labda jamaa anao wivu mkali mnooooooo, kiasi kwamba anataka mkewe asijichanganye changanye na wadau (that's why hataki hata afanye biashara)
So kwelii.. yani uniambie nitafute vyangu ndio mahaba gani haya??Sita.. inawekana, jamaa amejaa mahaba kwa bibie ila kuna vitu kaviona kwa mkewe na inafanya aogope kumpa uhuru kihivyooo.
Sijui ila kama kweli anamwmabia atafute vya kwake pia, kazi anayo!Mwishoooooo... Hebu muulize huyo bi dada, je anatunzwa vizuri na jamaa (anapatiwa mahitaji yake muhimu kulingana na kipato cha mumuwe)..
Je mahitaji yake ya kindoa anayapata?
Je, hasimangwi, hasemwi semwi na jamaa?
Hivi unaingiaje kwenye ndoa na mtu bila kuwekana sawa? Ndio zile desperations za kukimbilia kuvaa shera ili uonekane! Unaolewaje na mtu mwneye mambo kama haya then unakuja kushangaa! Unanioa ili tuje kufanya vikao kama hivi, seriously!!!😒Lastly... Atafute muda akae na mumewe wadiscuss mtazamo wao wa maisha.. Kila mmoja aelezee falsafa yake ya life, mtazamo na mipango yake ya muda mfupi na mrefu (kimapenzi, uchumi, n.k)
Kisha kila mmoja aangalie, Je anao uhitaji na ndoa na anao upendo kwa mwenzie na je a aiona future yao pamoja..
Kama ndio wa-focus kwenye kucompromise kisha wajicommit.
Mr. Kishingo anaishi kwenye hii misingi.
Na moja ya vitu vinavyompa furaha ni dame, vitu vinavyompa furaha dame ni pesa! WoiiMr. Kishingo anaishi kwenye hii misingi.
👇🏽
"tafuta pesa, tumia pesa"
"Pata pesa, kaa karibu na vitu vinavyokupa furaha"
#YOLO
Gari linataka kutishia usalama na afya ya ndoa yao., Aisee.💯
Hapana!! Nakataa
HAPANA!!!
Inawezekana ila ndio amwambie aendeshe gari la nani??
So kwelii.. yani uniambie nitafute vyangu ndio mahaba gani haya??
Sijui ila kama kweli anamwmabia atafute vya kwake pia, kazi anayo!
Hivi unaingiaje kwenye ndoa na mtu bila kuwekana sawa? Ndio zile desperations za kukimbilia kuvaa shera ili uonekane! Unaolewaje na mtu mwneye mambo kama haya then unakuja kushangaa! Unanioa ili tuje kufanya vikao kama hivi, seriously!!!😒
Hawa watanyooshana sana! Hakuna upendo kuna ubinafsi wa hali ya juu, una magari mawili unamnyima mkeo moja tena kutumia tu sio kujimilikisha! Issue ya mafuta ndio ilete mjadala wa kutotumia hii gari🫢
You killed it... 🙌🏾Na moja ya vitu vinavyompa furaha ni dame, vitu vinavyompa furaha dame ni pesa! Woii
Hivi why mnamuita mr kishingo? Yupo kama kuku kishingo!🤣
Hautaki tumuite kwa kiwakilishi cha "Mr Kishingo"Na moja ya vitu vinavyompa furaha ni dame, vitu vinavyompa furaha dame ni pesa! Woii
Hivi why mnamuita mr kishingo? Yupo kama kuku kishingo!🤣
Bora wasingekuwa nalo tu🤣Gari linataka kutishia usalama na afya ya ndoa yao., Aisee.
Hapo sijui kwakweliTukiacha suala la gari, na suala la kunyimwa ruhusa ya kufanya biashara.
Je, bibie hapatiwi haki zake zingine za msingi na za ndoa?
Basi mwanamke atakuwa mjinga, japo yupo sahihiNawaza, probably unawezakuta jamaa kwingine kote yupo poa, ila sekta hizo mbili tu ndo anasua sua.
Dahh hii ngumu kumeza😅Nawaza.. Kama mdada anaona hapo alipo hapamfai, basi aondoke tu, atafute vyake ili isilete shida baadae.. Akiendelea kukaa basi asilalamike, mapenzi gharama, apige kimyaaaa.
Dahh mr kishingo kaupiga mwingi, na kajiokotea the very raw one😋You killed it... 🙌🏾
Mr Kishingo, anapenda vyote viwili, pesa na slay queen.
Na slay queen, anapenda pesa.
Mr Kishingo aka-calculate, akaona kufukuzia vyote viwili (pesa na slay queen) itamchanganya.
Akagundua akipata mfumo mzuri wa uchumi, hapo atapata vyote viwili (pesa na slay queen)
Mr Kishingo, a very smart man! 🙌🏾
Kishingo limeshapita! Liko everywhere😁Hautaki tumuite kwa kiwakilishi cha "Mr Kishingo"
Hebu tusaidie utupatie jina au kiwakilishi kipya ili tukitumie kumrefer huyu mwamba.
Najua utampa jina la, "Zungu Ki-neck"
"Mr. Ki-neck"Kishingo limeshapita! Liko everywhere😁
Aisee..mitaa hizo za Moshi. Kuna binti aliwahi kupotea na driva wetu hapo Red StoneTasnia ya mapenzi/mahusiano inapitia mageuzi makubwa, Gen Z hamna uvumilivu kabisa mnatutoa kimasomaso kaka zenu. Zamani tulikua tunahudumia na tunaichapa fresh hatukua tunasema 'tunanunua', kununua ni kama ile unaichapa one time unaweka dau mezani na wanakua na centers zao kama Malindi, Red Stone au Black Diamond.
Vijanaa wana hoja wasikilizwe.