No Escape
JF-Expert Member
- Mar 7, 2016
- 6,663
- 7,830
Huu ndio ujumbe wangu wa kufungia mwaka huu wa 2017,kama unabisha endelea kumfanya mjinga mpumbavu au mwone kama mtu asiyejitambua mtu ambae anakusababishia wewe uwe hivyo ulivyo anakuweka mjini halafu unamuona kama fala tu, Nakuapia ipo siku isiyokuwa na jina utamkumbuka na kushindwa hata kumwomba msamaha..Hili lipo sana kwenye jamii hasa kwa ile jinsia pendwa mnajisahau sana yanayowatokea wenzenu wanatia hadi huruma huku!