Sawa tumekusikia . Na umasikuni wa watanzania utaisha hiyo 2020.Ni ngumu kuamini lakini 2020 hakuna mbunge yeyote wa upinzani atayefanikiwa kurudi bungeni ........
nasema hivyo kutokana na mazingira ya kisiasa ninayoyaona hivi sasa nchini sidhani kama 2020 kama kuna mbunge wa upinzani atayefanikiwa kurejea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikiwapendezaa,sirahaa,maamzi.....inatosha kututhibitishia type of your natureIkiwapendezaa wenye Dola na sirahaa zao wafanye maamzii kuliko yatakayoamliwa na kura!! Iko siku tutawahukumu watakaokuwa hai kwa hayaaa
Atakuwa anafurahiKwa ubabe huu,na mbinu za pk hakuna atakaerudi,ila sijui unafurahi au kusikitika
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni uchaguzi mkuu kumbuka kuwa watu wana vinyongo vyao mioyoni mwao na hao wanao ilinda ccm watakuwa wachache sanaNi ngumu kuamini lakini 2020 hakuna mbunge yeyote wa upinzani atayefanikiwa kurudi bungeni ........
nasema hivyo kutokana na mazingira ya kisiasa ninayoyaona hivi sasa nchini sidhani kama 2020 kama kuna mbunge wa upinzani atayefanikiwa kurejea
Sent using Jamii Forums mobile app
mara pwaaaaa......tanzania imekuwa rwanda....kopi & pesti
Kwa Sheria mpya ya vyama vya siasa upo sahihi labda damu imwagike MABEBERU watusaidie kuingila kati.Ni ngumu kuamini lakini 2020 hakuna mbunge yeyote wa upinzani atayefanikiwa kurudi bungeni ........
nasema hivyo kutokana na mazingira ya kisiasa ninayoyaona hivi sasa nchini sidhani kama 2020 kama kuna mbunge wa upinzani atayefanikiwa kurejea
Sent using Jamii Forums mobile app
Waache wajichimbie kaburi wenyewe.