Hakuna Maji Sehemu nyingi za Dar es Salaam

Hakuna Maji Sehemu nyingi za Dar es Salaam

Mama Mdogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2007
Posts
2,975
Reaction score
2,170
Nina wiki ya pili tangu nimeingia hapa jiji la Dar kutokea kwetum Katavi kuja tekeleza majukumu ya kimaendeleo. Kuna kimoja kilichonishangaza, ni uhaba wa maji katika jiji la Dar es Salaam.

Maeneo mengi ya jiji hakuna maji kabisa (Kimara, Tegeta, Bunju, Boko, Changanyikeni, Salasala, Kawe, Pugu, Mbagala, Makongo, Kigamboni, Yombo, Keko, Temeke, Ubungo, Muhimbili, Sinza etc). Cha ajabu ni huu ukimya wa uongozi wa Wizara ya Maji, Mkoa wa Dar es Salaam na Jiji la Dar es Salaam kuhusu hali hii ambayo inahatarisha maisha ya wananchi.

Mwenye taarifa za ziada kuhusu uhaba huu wa maji namuomba anijulishe ili nami nipate uelewa kama tulivyojulishwa kuwa umeme utakatwa kwenye majiji na mitaa ya watu wenye uelewa tarehe 26 hadi 29 kupisha mjadala wa Escrow bungeni!!!

attachment.php


Source:
24tanzania
 

Attachments

  • water2.jpg
    water2.jpg
    24.3 KB · Views: 668
Utasemaje Dar hakuna maji wakati imepakana na Bahari? Nendeni mkachote maji baharini
 
Karibu dar Mama Mdogo, haya wenzako ndo maisha ya kila siku...zoea tu, na sema hewala..

Si ndo watu wa tabaka fulani wanataka tuseme hivyo na kuwapigia makofi...
 
Last edited by a moderator:
Bongo tambarareeeee...bongo Nyu Yoki mabilionea kila kona.
 
Wenyewe tushazoea kuoga kwa zamu huku kwetu wamekata mabomba kwa makusudi zaidi ya wiki mbili sasa ukiwafuata wanazungusha tulichoamua mpaka kufikia jumapili tunakwenda kuvunja bomba linalokwenda msasani na masaki pale mkwajuni
 
Nilikua na kahakiba kangu kwenye maplastiki yote yameisha...sasa natumia Uhai 12lts....maisha yanaendelea wakaenayo tu maji yao
 
Nilikua na kahakiba kangu kwenye maplastiki yote yameisha...sasa natumia Uhai 12lts....maisha yanaendelea wakaenayo tu maji yao

Wenyewe tushazoea kuoga kwa zamu huku kwetu wamekata mabomba kwa makusudi zaidi ya wiki mbili sasa ukiwafuata wanazungusha tulichoamua mpaka kufikia jumapili tunakwenda kuvunja bomba linalokwenda msasani na masaki pale mkwajuni

Nina wiki ya pili tangu nimeingia hapa jiji la Dar kutokea kwetum Katavi kuja tekeleza majukumu ya kimaendeleo. Kuna kimoja kilichonishangaza, ni uhaba wa maji katika jiji la Dar es Salaam.

Maeneo mengi ya jiji hakuna maji kabisa (Kimara, Tegeta, Bunju, Boko, Changanyikeni, Salasala, Kawe, Pugu, Mbagala, Makongo, Kigamboni, Yombo, Keko, Temeke, Ubungo, Muhimbili, Sinza etc). Cha ajabu ni huu ukimya wa uongozi wa Wizara ya Maji, Mkoa wa Dar es Salaam na Jiji la Dar es Salaam kuhusu hali hii ambayo inahatarisha maisha ya wananchi.

Mwenye taarifa za ziada kuhusu uhaba huu wa maji namuomba anijulishe ili nami nipate uelewa kama tulivyojulishwa kuwa umeme utakatwa kwenye majiji na mitaa ya watu wenye uelewa tarehe 26 hadi 29 kupisha mjadala wa Escrow bungeni!!!

attachment.php


Source:
24tanzania

Hata huku kwetu yalikatika ila jion hiii yamerudi, nashinda nayachezea tu. Nasubiri umeme
 
Hata huku kwetu yalikatika ila jion hiii yamerudi, nashinda nayachezea tu. Nasubiri umeme

Maeneo gani mkuu ili nijue huku kwetu ni leo au kesho au mtondogoo??
 
sisi tulienda kwa kigogo mmoja anakaa ada estate ana matank balaaaa tukachukua maji kwa force ....kesho lazima niende tena na pick up
 
Nina wiki ya pili tangu nimeingia hapa jiji la Dar kutokea kwetum Katavi kuja tekeleza majukumu ya kimaendeleo. Kuna kimoja kilichonishangaza, ni uhaba wa maji katika jiji la Dar es Salaam.

Maeneo mengi ya jiji hakuna maji kabisa (Kimara, Tegeta, Bunju, Boko, Changanyikeni, Salasala, Kawe, Pugu, Mbagala, Makongo, Kigamboni, Yombo, Keko, Temeke, Ubungo, Muhimbili, Sinza etc). Cha ajabu ni huu ukimya wa uongozi wa Wizara ya Maji, Mkoa wa Dar es Salaam na Jiji la Dar es Salaam kuhusu hali hii ambayo inahatarisha maisha ya wananchi.

Mwenye taarifa za ziada kuhusu uhaba huu wa maji namuomba anijulishe ili nami nipate uelewa kama tulivyojulishwa kuwa umeme utakatwa kwenye majiji na mitaa ya watu wenye uelewa tarehe 26 hadi 29 kupisha mjadala wa Escrow bungeni!!!

attachment.php


Source:
24tanzania

Ruvu chini ilipasuka leo siku ya tatu ila mafundi wako site wanatengeneza mungu jaria wamalize mapema maji ni uhai.
 
Haaa leo nimeingia pale mlimani city ni shida chooni hakufai kabisa kisa maji hamna ..nina rafiki yangu mmoja anafanya kazi kwenye ofisi moja pale ndani mlimani city nikampigia ile nitumie vyoo vya ofisi yao nako balaaa yaani du hii nchi ni majanga
 
Haaa leo nimeingia pale mlimani city ni shida chooni hakufai kabisa kisa maji hamna ..nina rafiki yangu mmoja anafanya kazi kwenye ofisi moja pale ndani mlimani city nikampigia ile nitumie vyoo vya ofisi yao nako balaaa yaani du hii nchi ni majanga

Embu mwambie rafiki yako akutumie picha maana ni kwa sehemu kubwa kama mlimani city
 
Mkuu maji ni shida bongo dar, m nnamwezi nayasikia kama upepo, halafu viongoz wako buzy, jaman kimara hakuna maji wakuu ni shidaaaa
 
Karibu mjini ukirudi kijijini kwenu kasimulie eheee
 
Back
Top Bottom