Hakuna Machinga aliyeondolewa barabarani bali Wachuuzi ndio wameondolewa barabarani

Kwa kweli hawa machinga na hao wachuuzi wajenga vibanda wote hawafia, wanarejesha nyuma sana wafanya biashara wenye maduka ambao ni walipa kodi. na kodi nyingi inakosekana kukusanya kwa sababu ya wao.

Ila tu wale wanauza chakula ni vyema waendelee kuruhusiwa. wanasaidia sana watu wa hali ya chini na hawana athari kubwa ya kiuchumi.
 
Usitake kutuona kama wanafunzi wako ,kwamba unaweza kutupeleka unavyowaza wewe kizembe tu.Sisi tunaofanya biashara ndo tunajua haya mambo yanaendaje, hapo kuna makundi mawili:-

Kuna wafanya biashara wenye mitaji mikubwa ambao wanamiliki frame, na unakuta haohao ndo wanaajili machinga kadhaa ili kutangizia wateja wengine katikati ya mji.Yani unakuta mimi nina frame yangu hapa ila ukipiga kona moja utakuta kuna machinga wangu kapanga chini anauza.

Kuna wale machinga wanaojitegemea.

Kwa uzoefu wangu bila kusimuliwa, kuna machinga wengi tu wametimuliwa sasa hizo habari zako za kusema eti mama ntilie ndo wametolewa sijui umeziokota wapi tu.
Hujamuelewa bdo.rudia kusoma post

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom