Kwa nini umeandika hivi?
Kuna tukio limekukumbusha?
Kusoma tu yamenilengalenga.
Amani itamalaki
Ni mara mia uumwe mbwa au ulaluliwe na simba lakin si kuona jeneza la ndugu, rafiki au mzazi likishushwa kaburini
Akili huwaga inahama na kuona bora tu hata wewe udanje
Hii ni hatua mbaya sana, ni hatua ambayo mtu huamini kabisa ni kweli huyu mpendwa sitamuona ndo hatua ambayo unaamini kabisa ni kweli huyu ndugu yangu kafa
Na usiombe awe MAMA yako mzazi utatokwa na kamasi ambazo hutaelewa zimetoka wapi
Hapa ndo watu wengi hulia na kusaga meno hata kama mwanzoni walikuwa wamejikaza
Hapa ndo watu wengi sana huzimia
Ni bora ukutane na watu wasiojulikana lakin siyo kukutana na wakati huu hasa hasa kwa mpendwa wako wa karbu utalia na kusaga meno
Tangu nilipofiwa na mwanangu na nikaingia mochwari kutambua maiti nimekuwa na kausugu flani, inapotokea msiba huwa naumia then na cope shortly afterAmani itamalaki
Ni mara mia uumwe mbwa au ulaluliwe na simba lakin si kuona jeneza la ndugu, rafiki au mzazi likishushwa kaburini
Akili huwaga inahama na kuona bora tu hata wewe udanje
Hii ni hatua mbaya sana, ni hatua ambayo mtu huamini kabisa ni kweli huyu mpendwa sitamuona ndo hatua ambayo unaamini kabisa ni kweli huyu ndugu yangu kafa
Na usiombe awe MAMA yako mzazi utatokwa na kamasi ambazo hutaelewa zimetoka wapi
Hapa ndo watu wengi hulia na kusaga meno hata kama mwanzoni walikuwa wamejikaza
Hapa ndo watu wengi sana huzimia
Ni bora ukutane na watu wasiojulikana lakin siyo kukutana na wakati huu hasa hasa kwa mpendwa wako wa karbu utalia na kusaga meno
Hili dunia ikamilike lazima kila aina ya watu wawepo mtu anafiwa na mama yake na chozi ulioni na anakuwa normal yeye ndie ana wafariji nduguze wengine wanazimia wengine ana pata mshituko ana farikiSiku ukifiwa utarud hapa kutuomba msamaha
Siku ukifiwa utarud hapa kutuomba msamaha
anaweza kuwa hana hata mafua na anajikaza kiume lakini wapi anaona makamasi yanatiririka tuLabda hujapata msiba uliokugusa
Huko ndio kukomaa mimi, nilishuhudia baba akifa polepole ,nikiwa pembeni ya kitanda chake! hadi mwisho....hadi madaktari na manesi waliniheshimu,na ilikuwa mara ya kwanza kukaa karibu na mtu anayekata roho au mwili wa marehemu...sikuwa na uchaguzi/jinsi ...hadil leo imenikomaza kidogoTangu nilipofiwa na mwanangu na nikaingia mochwari kutambua maiti nimekuwa na kausugu flani, inapotokea msiba huwa naumia then na cope shortly after
Hivi GENTAMYCINE ni moderator?Vipi Mkuu umeshaanza labda kupata dalili zozote zile za Wewe Kutangulia mbele ya Haki ( Kufa ) hivi karibuni?
Hili dunia ikamilike lazima kila aina ya watu wawepo mtu anafiwa na mama yake na chozi ulioni na anakuwa normal yeye ndie ana wafariji nduguze wengine wanazimia wengine ana pata mshituko ana fariki hatuwezi kuwa sawaLabda hujapata msiba uliokugusa
Amen, be blessed BrethrenWarumi 8:38
Kwa maana nina hakika kuwa, si kifo wala uzima; si malaika wala mashetani; si mambo ya sasa wala mambo yajayo au mamlaka nyingineyo yote; 39 si mambo yaliyo juu wala yaliyo chi ni sana; wala hakuna kitu kingine cho chote kati ya vitu vyote alivyoumba Mungu kitakachoweza kututenga na upendo wa Mungu ulio ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu.
Unakuta mtu kama Zari yaan ye kulia ni mgumu sana, niliona kwa mama yakeHili dunia ikamilike lazima kila aina ya watu wawepo mtu anafiwa na mama yake na chozi ulioni na anakuwa normal yeye ndie ana wafariji nduguze wengine wanazimia wengine ana pata mshituko ana fariki