Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,902
- 27,660
- Thread starter
- #81
Wanaboa sana, humpi ushirikiano, unatamani aondoke, ila bado anatafuta visababu vya kukuletea usumbufu.Kiukweli ni kama vile umeniandikia mimi yani
Kila siku ninayosema leo sijisikii kusema na mtu niwe zangu bize ndiyo siku vishkaji vinajidai vina stori visumbufu balaa mara akuulize swali mara aombe hiki mara kile kakiona hutilii maanani stori zake mara kakuite mara kaimitate jambo ili ukaangalie yaani ilimradi tu asikupe nafasi