Hakuna kitu kinakera na kuudhi kama...

Hakuna kitu kinakera na kuudhi kama...

Sasa si ungemwambia huko huko mkamalizana?
Sasa unanipangia?
Au yupo hapa JF atasoma? Vipi na kesho akikujia tena? Utakuja tena kuanzisha uzi?
Ndiyo
Au umekuja kutafuta attention na underground validation - which is very normal for introverts?
Haya umenipea another unsolicited analysis, nitaifile right under "inaccurate things no one asked for"
Kubadili mila, desturi, mitazamo na falsafa ya jamii siyo jambo jepesi. Kwa kawaida huchukua vizazi kadhaa.

Kuwa mvumilivu. Labda wanao au wajukuu zako ndiyo watakuja kuinjoi kuvaa headphones bila kusemeshwa na Waswahili wenzao! ๐Ÿ˜‚
Bored Celebrity Big Brother GIF by Big Brother.gif
 
Kusikiliza muziki, au videos au habari kwa sautiii ukikaa na watu. Binafsi huwa inanikera.....ustaarabu weka earphones au sauti ya chini ya kukutosha wewe tu.
Inakera sana, nina ndugu yangu wa makamo ndiyo tabia yake hii, anaudhi.
Wanaowafungulia akaunti za facebook hawa ndugu zetu huwa wanatukosea sana.
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜… Ona huna hata uhakika, hebu figure out kwanza, then try making a coherent point.
You are very bossy and troublesome - but all in a good way. Deep down I know you are an innocent, decent and sweet lady.

I like you...

Adios! ๐Ÿ–

Ila usiweke headphones ukiwa na Wabongo. That's just rude! ๐Ÿƒ๐Ÿฟโ€โ™‚
 
Back
Top Bottom