Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,902
- 27,646
- Thread starter
- #21
Sijatongozwa, shida hamjiamini vijana 🙄Lengo la huu uzi ni kututaarifu leo umetongozwa au nini!
Sijatongozwa, shida hamjiamini vijana 🙄Lengo la huu uzi ni kututaarifu leo umetongozwa au nini!
Afadhali halifiki kichwani 😂Yaani mtu akigonga mlango mara kadhaa gogo langu siyo kwamba linarudi tu tumboni bali linapanda hadi mgongoni kwa kuhofia iwapo mgongaji anataka kuuvunja mlango ama la.
Mzee wa kusogeza vizazi, ukuni kama wa farasi unataka wafanyaje sasa?Wanaochomoa dude langu mara nyingi nikiwauliza wanasema ninawaumiza K zao.
😂😂 kawaida tu, ila haiba imejaa!Pole, kwa jinsi unavyoleta mada zako, yaonekana wee mwanamke unatamanisha sana, hatumlaumu njemba mwenzetu!
Hebu mfundishe kutongoza basi, labda yumo humu atasoma!Kajigonga gonga kwako kumbe domo zege! Kutongoza nako kwahitaji maarifa dada!
Ndiyo ni introverted na I don't really care mtu mwingine ananitafsiri vipi.Katika jamii yetu kwanza kuweka headphones kukiwa na watu wengine ni dalili ya social awkwardness, kuwa extreme introverted na inaweza kutafsriwa kama kiburi, kutojali na majivuno.
Huyu amenifuata ofisini kwangu, nikiwa peke yangu.Ninazo hapa noise cancelling lakini pia najua siwezi kuzivaa kukiwa na watu - iwe kazini au kwingineko maana watu watanisemesha tu. Huwa nasubiri nikiingia ofisini, gym, jogging au nikiwa po pote peke yangu.
Badilikeni acheni excuses!Haya mambo yatabadilika polepole lakini kulalamika eti watu wanakusemesha huku umevaa headphones kwa jamii ya sasa siyo halali. Toa hizo headphones. Ongea na watu. Ukiwa peke yako ofisini au kwingineko blast them to the max....
Baba Antpass 😪 watu wananiudhiNan ako nasumbua mama antpass
Zipo, watu wengine ni kujifanya vichwa ngumu tu.Hauna Facial Expressions au Body Language ?
Popote kazi kaziMtu kukukuta umekaa kwa utulivu, umeweka headphones zako masikioni, unafanya mambo yako halafu akaanza kukuongelesha upuuzi tu.
Hasa huku makazini, siyo lazima kila wakati tusemeshane.
Kama unataka kutongoza mwanamke au mdada unataka kumbebisha mwanaume, mtafute nje ya eneo la kazi. Tusifuatane fuatane kama mchwa na kuanzisha story zisizo na kichwa wala miguu.
Wenye tabia hizo acheni 🤚🤚mnaboa sana 🤬😤
View attachment 3508224
Asanteni na siku njema!
Nitoe huku kwa watu weusi buana!Popote kazi kazi
Usijali, soon uje zako ni tarehe 8D. Wenzetu wame staharabika sanaNitoe huku kwa watu weusi buana!
Naiona mbali sana, kwani hatuwezi kubadili ile ticket?Usijali, soon uje zako ni tarehe 8D. Wenzetu wame staharabika sana
Binti wa zamani , tuifanye ya lini ?Naiona mbali sana, kwani hatuwezi kubadili ile ticket?
Hapo umeeleweka fresh 😅Ukinikuta napata herbal alafu uniambie tukazunguke zunguke road sipendi nikipata herbal napenda nilale nikamatie kalio mixer pVssy
This weekend 😊😇Binti wa zamani , tuifanye ya lini ?
Usijali mama, nalifanyia kazi . Sawa 😊This weekend 😊😇
Sasa si ungemwambia huko huko mkamalizana? Au yupo hapa JF atasoma? Vipi na kesho akikujia tena? Utakuja tena kuanzisha uzi? Au umekuja kutafuta attention na underground validation - which is very normal for introverts?Huyu amenifuata ofisini kwangu, nikiwa peke yangu.
Kubadili mila, desturi, mitazamo na falsafa ya jamii siyo jambo jepesi. Kwa kawaida huchukua vizazi kadhaa.Badilikeni acheni excuses!
Labda anatest kuhakiki kama ni kweli mke yupo!Hakuna kitu kinaudhi kama demu kunipigia simu saa4 za usiku na nishamwambia nina mke halafu nikikutia block unalalamika