Hakuna kitu kibaya Kama umaskini

Kanuni ya kuwa tajiri kwa kila unachotafuta kula katika ratio ya 20% ina maana 80% uwe unatunza. Sasa kama kanuni hii huijui utakuwa unapiga magenchi ya laki laki kisha unatumia 80 unasave 20 lazma dunia uione chungu.
 
most of vitabu ulivyosoma nimevisoma but vyakuongeza ni As a man thinketh, The power of your subconcious mind na The game of life and how to play it. Vitabu ulivyosoma ni vya kuinspire sana na kumotivate kama hujaona mabadiliko nakushauri ufatilie page ya joel nanauka instagram anaprogram za kucoach watu kubadilika kifikra na unajua kila kitu kinaanzia kwenye fikra pia uangalie video zake youtube nzuri mno
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unadhani Kuna bahati kwenye maisha, utachemsha mkuu.... Au unataka uapplly Idea za Napoleon Hill kwenye kitabu chake Cha Think and grow rich
.Kuna sifa za Hawa streetsmarter wanazozitumia ndo nataka nizifahamu
Nkukomaa tu hamna namna
 
Nkupeleke kwa nkurunkenge upate utajiri fasta?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu labda unaongelea umaskini upi hasa kati ya umaskini wa kipato na umaskini wa fikra/akili
 
Mkuu labda unaongelea umaskini upi hasa kati ya umaskini wa kipato na umaskini wa fikra/akili[/QUOT

Rudia kusoma thread, ujuaji ukizidi Sana matokeo... Najua hapa unataka kuniketa theory za makaratasi za kusuccessed
.Rudia kuisoma thread utaelewa
 
Sawa we endelea kusoma but Mimi Kuna vitu navihitaji more than Hivyo nitavisoma baadae

Na vitabu na Hivyo unavyovisema vyote vinatoa hamasa sio kwamba vinakuonesha njia moja kwa moja ya kufanikiwa ingekuwa wote tungekuwa mabillionea
 
Umaskini wa waafrika wengi unatokana na kutokuweka akiba tunatumia chote tunachozalisha utafikiri hakuna kesho na hii inatokana na malezi tangu utotoni. Tunatakiwa tuwafundishe watoto wetu tangu mwanzo kuweka akiba, kwa mfano mtoto unamletea biscuit nyingi mfudishe ale kidogo zingine atunze ukiona mtoto anakula zote ujue ataendelea na hiyo tabia hadi ukubwani atakuwa anatumia mshahara wote bila kuweka akiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…