OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Ndo maana yangu nilivyoandika.Bahati ipo. But it comes with more sacrifices and struggling.
Huwezi kukaa tu nyumbani ikakutokea bahati.
formula ni hiyo hiyo wew hufanikiwi na utachelewa kufanikiwa coz unatafuta kitu ambacho hakipo siri nyingi ni kumtanguliza Mungu na kusali sana pia kufanya kila kitu kwa kujiamini kwamba kitafanikiwa bila doubt utatoboa soon
Sent using Jamii Forums mobile app
Unadhani Kuna bahati kwenye maisha, utachemsha mkuu.... Au unataka uapplly Idea za Napoleon Hill kwenye kitabu chake Cha Think and grow richSuala la umri lina usiana nini mkuu..?
Unadhani bahati hutokea tu??
Sent using Jamii Forums mobile app
kumbe kuna watu mshauonja huo moto??
hongereni sanaa.
na kama unahisi hakuna kitu kibaya kama umasikini...jaribu ujinga![/QUOT
Ndgu unaelewa ulichoandika
Umenifanya nitabasam.Kama umenote kitu.
Huwez kuta tuhuma za kuhawi kumwaga kwa matajiri... ukiwa na pesa hayo hayapo nguvu za kiume zinakuja Automatically
Ni siri ambayo hawawez kamwe kukuambia mkuu..Hahahaha Yani Kuna vitu serious navipitia kwenye familia halafu mm ndo mkubwa nashindwa kuvisolve
Nimepoteza ndgu na jamaa wa familia sababu tu ya umaskini ya kukosa pesa ya kugharamia matibabu...nauchukia umaskini natafuta usiku na mchana lakini mambo ni magumu
Hawa matajiri wamefanyaje?
Haya maneno ni bla blah tu no realityThey never give up.
They learn from their mistakes, change strategies and take more risks.
Mbona wengine Kama ni elimu, Kama ni bidii tunayo, strategy tunazo mbna mafanikio hatuyaoniCycle of poverty
Ukiwa masikini, hata mbwa wako anaweza kukuuma!
Kuna rafiki yangu ni tajiri, nilimuuliza siri ya mafanikio yake baada ya kufungua hotel yake mpya ya kisasa ya ghorofa kadhaa.
Huku akitabasam, akaniambia ni mambo matatu; Bidii kwa unachokifanya, Muombe Mungu, na Bahati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanuni ya utajiri ni simple sanaNdugu dinia hii sidhani Kama mtu Hana malengo, tatzo ni mambo hayaendi
Wewe. Unaumwa yaani watu wa JF eti mtu humjui anasema wewe hutofanikiwa
Ok sawa
Vitabu vipi unavyonambia nisomewe ndo unaumwa wap nimesema hutofanikiwa? naona kutokufanikiwa kumekukaa kichwani pole naelewa but usijal badisha tu strategies weka mipango madhubuti tumia akili sana penda kujifunza sana hasa kusoma vitabu utafanikiwa sawae
Sent using Jamii Forums mobile app
MHUBIRI. 9:11Niliwahi kumsikiliza Mfuruki kwenye mahojiano CLouds TV..alisema hata ukiwa na sifa zote bahati inahitajika pia...mpaka Leo natafakari....
Wao waliambiwa na nani?H
Hao matajiri wana Siri ambayo hawawezi kukuambia kamwe