Hakuna kitu kibaya Kama umaskini

Wewe. Unaumwa yaani watu wa JF eti mtu humjui anasema wewe hutofanikiwa
Ok sawa
 
Ni siri ambayo hawawez kamwe kukuambia mkuu..


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cycle of poverty
Ukiwa masikini, hata mbwa wako anaweza kukuuma!

Kuna rafiki yangu ni tajiri, nilimuuliza siri ya mafanikio yake baada ya kufungua hotel yake mpya ya kisasa ya ghorofa kadhaa.
Huku akitabasam, akaniambia ni mambo matatu; Bidii kwa unachokifanya, Muombe Mungu, na Bahati.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wengine Kama ni elimu, Kama ni bidii tunayo, strategy tunazo mbna mafanikio hatuyaoni
 
we ndo unaumwa wap nimesema hutofanikiwa? naona kutokufanikiwa kumekukaa kichwani pole naelewa but usijal badisha tu strategies weka mipango madhubuti tumia akili sana penda kujifunza sana hasa kusoma vitabu utafanikiwa sawae
Wewe. Unaumwa yaani watu wa JF eti mtu humjui anasema wewe hutofanikiwa
Ok sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vitabu vipi unavyonambia nisome
List ya vitabu nilivosoma

1. Ujasiliamali by wakuru magige
2. Success system that never Fail
3. Think and grow rich
4. Rich Dad, poor Dad
5. Maisha na mafanikio
6.The secret of success
7. The power of positive mind
8.The world of bussiness

Na vingine nimevisahau....
Niongezee vyako nikasome
 
Niliwahi kumsikiliza Mfuruki kwenye mahojiano CLouds TV..alisema hata ukiwa na sifa zote bahati inahitajika pia...mpaka Leo natafakari....
MHUBIRI. 9:11
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba
si wenye mbio washindao katika michezo,
wala si walio hodari washindao vitani, wala
si wenye hekima wapatao chakula, wala si
watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye
ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na
bahati huwapata wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…