Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,325
- 152,136
Isitoshe hawana ardhi,hawana mitaji na wala hawakopesheki maana hata dhamana hawana na pia hata wazazi wao nao ni masikini kama wao.
Kama haitoshi,ukianza tu kabiashara chako TRA/Manispaa hao na kila aina ya tozo!Vyuo vyetu havina hata mafunzo ya ujasiriamali kwa wahitimu wake!Yaani hata hujaandaa sera rafiki kwa vijana hawa kujiari teyari umeanza kuwaandama!!
Sasa vijana hawa unawakamata kwa kipi hasa?Umejenga/umehamisisha ujenzi wa viwanda na wakakataa kufanya kazi?Umetoa mamilioni kwa kila kijiji wakakataa kuchukua mikopo hiyo?Kwenye jimbo ulilokuwa mbunge kwa zaidi ya miaka 20, umetengengeneza fursa ngapi za ajira kwa vijano katika hilo jimbo?
Kama kweli una uchungu na vijana hawa,ni kwanini basi usisitishe ununuzi wa mashangingi na sitting allowance za wabunge na badala yake fedha hizo ukaagiza zitolewe kama mikopo kwa vijana au kwa kila kijiji?
Mh.,kuna maeneo unatakiwa uende taratibu na nyie mlio karibu yake mshaurini vizuri huyu mh.wetu.
Otherwise,as a nation,we are heading for trouble under this new regime!!
Kama haitoshi,ukianza tu kabiashara chako TRA/Manispaa hao na kila aina ya tozo!Vyuo vyetu havina hata mafunzo ya ujasiriamali kwa wahitimu wake!Yaani hata hujaandaa sera rafiki kwa vijana hawa kujiari teyari umeanza kuwaandama!!
Sasa vijana hawa unawakamata kwa kipi hasa?Umejenga/umehamisisha ujenzi wa viwanda na wakakataa kufanya kazi?Umetoa mamilioni kwa kila kijiji wakakataa kuchukua mikopo hiyo?Kwenye jimbo ulilokuwa mbunge kwa zaidi ya miaka 20, umetengengeneza fursa ngapi za ajira kwa vijano katika hilo jimbo?
Kama kweli una uchungu na vijana hawa,ni kwanini basi usisitishe ununuzi wa mashangingi na sitting allowance za wabunge na badala yake fedha hizo ukaagiza zitolewe kama mikopo kwa vijana au kwa kila kijiji?
Mh.,kuna maeneo unatakiwa uende taratibu na nyie mlio karibu yake mshaurini vizuri huyu mh.wetu.
Otherwise,as a nation,we are heading for trouble under this new regime!!