God Bless the Women
Ujumbe wako umenifikirisha sana, nitaufanyia kazi mkuu...thanksNa ambao bado mna mama jaribuni kuwaangalia na kuwa karibu nao sana. Wakishaondoka ndiyo wameondoka
Ni kweli kabisa mkuuNa ambao bado mna mama jaribuni kuwaangalia na kuwa karibu nao sana. Wakishaondoka ndiyo wameondoka
Na ambao bado mna mama jaribuni kuwaangalia na kuwa karibu nao sana. Wakishaondoka ndiyo wameondoka
All men are dogs...Mnavowananga mama wa wenzenu humu ninyi kumbe kuna muda mnakumbuka mama zenu lol.
*WANAUME KUNA VITU LAZIMA TUVIELEWE KWA WANAWAKE.*
Bibili inasema *MWANAMKE NI KIUMBE DHAIFU* hapo hapo inasema *TUKAE NAO KWA AKILI.*
Na bado inasema *MWANAMKE NI JESHI KUBWA* swali?
Walijifunza saa ngapi uwanajeshi na ili kudhibitisha kwamba ni mwanajeshi Mungu anamtuma kwa mwanamme amlinde.
Yeremia 31:22 .... *Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani;* *mwanamke atamlinda mwanamume.*
KUMBUKA HILI MWANAUME MWENZANGU.
●Mtu wa kwanza kukutana na SHETANI live ni mwanamke pamoja na kwamba walizungumza mengi na kula tunda kiukweli hatujui mengine waliozungumza mbali na kula tunda.
●MWANAMKE aliumbwa ukiwa usingizini wewe MWANAUME hujui ni kitugani walichozungumza na Mungu kabla ya wewe kuzinduka.
●MWANAMKE ndiye aliyemwelewa Mungu alipoambiwa ana mimba ya Roho Mtakatifu wewe MWANAUME ulitaka kumkimbia badala ya kukabiliana na changamoto hiyo.
●MWANAMKE ndiye mtu wa kwanza kwenda kuhakikisha kama kweli Yesu amefufuka na kusambaza habari.
●MWANAMKE ndiye anayeongoza kwa ushawishi mkubwa mwanaume huna ujanja mfano.
■Eva kwa Adamu
■Delila kwa Samson
■Ester kwa Ahasuero
■Raheli kwa Labani n.k
> *Usimuudhi mke wako ana siri kubwa sana usione kakaa na wewe anakuvumilia pamoja na ukatili wako.*
> *Anaweza akatekeleza walichozungumza na Mungu au anaweza kutekeleza alichozungumza na shetani* oohoo!
Mkuu, hakikisha angalau kila wiki unamsalimia. Hata kujua hali yake tu anavyoendelea. Na usikose kumwambia kuwa unampenda. Jaribu kumtimizia mahitaji yake kwa kadri ya uwezo wako na ukipata muda nenda ukamuone. MPesa/Tigo pesa mara kwa mara. Usisubiri mpaka akuombe....Ngoja nimwendee hewani sasa hivi....
Na mama kamwe hawezi kuwa furushi....Hakika, hakuna kama mama.
HakikaNa mama kamwe hawezi kuwa furushi....
Furushi naamini ni msamiati wa Atoto kuelezea wanaume wasiojitambua, maboya wasio na vifua., naliona tu neno furushi hata sielewi maana yake.