Huu msemo uliniponza sitaki kusikia maana siku niliyojipa furaha kwa mafanikio niliyopata ndiyo siku nilidharirika kuomba watu wanikope elfu tano nipate nauli ya kurudi kazini .Hakuna siku utakayo maliza matatizo yako yote.
Jipe muda kuyafurahia machache uliyobarikiwa nayo
Tumia zote bakiza buku unadhani hiyo buku ni ya kujengea?Huu msemo uliniponza sitaki kusikia maana siku niliyojipa furaha kwa mafanikio niliyopata ndiyo siku nilidharirika kuomba watu wanikope elfu tano nipate nauli ya kurudi kazini .
Sitaki kusikia tena uongo wenu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Hahahah pole mkuuHuu msemo uliniponza sitaki kusikia maana siku niliyojipa furaha kwa mafanikio niliyopata ndiyo siku nilidharirika kuomba watu wanikope elfu tano nipate nauli ya kurudi kazini .
Sitaki kusikia tena uongo wenu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
ulijipongeza kwa vileo?Huu msemo uliniponza sitaki kusikia maana siku niliyojipa furaha kwa mafanikio niliyopata ndiyo siku nilidharirika kuomba watu wanikope elfu tano nipate nauli ya kurudi kazini .
Sitaki kusikia tena uongo wenu
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Nilienda mji wa mbali kujipongeza walau kwa kinywaji kaka.ulijipongeza kwa vileo?
nafikiri makofi matatu ingetosha ndugu