Watoto wengi sana wanazaliwa bila kupangwa hususa Barani Africa!
Yani Mume na Mke wanakutana kimwili mara ujauzito mtoto kazawaliwa lakini wazazi wake hawa kupanga kumzaa imetokea tu!
Uzoefu unaonesha watoto wanaopangwa kuzaliwa Kabla na wazazi wote Wawili huwa wa pekee sana !
Takwimu zinaonesha Walau Kwa % ndogo sana nchi ya Ethiopia imethubutu kuwa na Watu wachache wenye kupanga kuzaa mtoto Kabla hajazaliwa!
Hii kitu ina faida nyingi sana za mwilini na rohoni Kwa mtoto na wanaomzunguka popote duniani ktk maisha Yake yote na hatima Yake !
Mkuu una utani na watu wa Ta.....nga wewe.Mkuu unakuta hadi kuna wazee wanazaa watoto wadogo wakitegemea kaka zao kuwasomesha, badala ya kurithi mali unarithi watoto
Huenda darasa lako ni Kubwa ila huna baba maalumu ndo maana hunielewiMadarasa yako ni madogo huwezi ielewa mada hii
Wazungu kinachowafanya wasitegemeane ni mfumo nzuri wakimaisha uliowekwa na serikali, siyo wao mmoja mmoja, na hata hivyo bado wanaombana hela na kunasaidiana , usiposaidia wazazi wako, mke wako atasaidia wazazi wake kwa kuitumia pesa zako
Is the phrase "Baba Jinga" not an insult...!?Kuongea ukweli si kutukana. Ukweli ni ukweli bila kujali unamgusa nani.
Umeona ee!?Baba akizeeka mlee ...acheni kulishwa limbwata...