assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Rais Nyerere hafai kukumbukwa kwa lolote
Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.
Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.
Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?
Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?
Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?
Tafakari
Ukisema kaleta Uhuru kasome makala za Mohammed said utaelewa kazi ya viongozi wa TAA juu ya Uhuru na kazi ya Nyerere.
Nani alimruhusu kusema nchi haina dini halafu akatupa wimbo wa taifa tumuombe Mungu. Nani alimruhusu kuwa tunataka ujamaa? Alifanya referendum wapi? Nani alimruhusu kutaifusha Mali za watu,viwanda,viwanja,mashule,vyuo,nk? Nani alimruhusu kukusanya watu kwenye vijiji na maroli huku wakiwa chini ulinzi kwa waliopinga.
Nani alimruhusu kuua demokrasia na kupiga marufuku vyama vingi?
Serikali yake ikajaa umangimeza, hakuna wakuihoji, zikadumu fikra za mwenyekiti kwa mdamrefu, nan alimruhusu?
Akatumia rasilimali na fedha za chi kukomboa bara zima la Afrika bila kuweka mkataba kuwa fedha zile sio zake Bali za wananchi kwa hiyo wakipita Uhuru wao wazirudishe matokeo yake hata South Africa tuliowasaidia wenyeji hawataki wahamiaji na wanawaua, je rasilimali zetu zilizowanufaisha sisi tumenufaika na nini?
Nina mengi sana lakini ngoja niachie hapa, sasa najiuliza Nyerere tunamkumbuka kwa lipi hata tuweke eti Nyerere day?
Tafakari