DELETED ACCOUNT
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 9,805
- 15,470
Nimeona kuna mjadala mkali unaendelea mitandaoni kuhusiana na baadhi ya mashabiki wa Simba kuamini kuwa Simba haipati matokeo mazuri pale mechi zake zinapotangazwa na mtangazaji wa Azam TV, Gharib Mzinga.
Binafsi, mimi siwakubali hawa watangazaji woote. Kwanza wote wana chembechembe za uto na wengine wanaonyesha mahaba yao wazi wazi. Kuna huyo anaitwa Kambole sijui, ukisikiliza utangazaji wake utadhani anatangaza kwenye Yanga TV. Anasahau anatakiwa awe "balanced".
Kuna yule alitangaza game ya kwanza ya Al Masry vs Simba. Aisee, alishindwa kabisa kuficha furaha yake pale Simba ilipokuwa inafungwa hadi inashtua. Imefika wakati uongozi wa Simba utilie maanani haya mambo na iwasiliane kiofisi na Azam kama ambavyo uto wanafanya.
Kuna yule/wale wanatutangazia kiarabu. Hivi mbona kuna watu nchi hii wanadhani mpira ni kwa ajili ya watu wa imani fulani? Juzi nilimsikia roporopo mmoja anamkataa mzabuni wa Simba JayRutty eti kwa sababu hakufunga mwezi wa Ramadhani? Kuna hii ya kupeleka misaada kwenye vituo vya dini moja. Mifano ipo mingi ya hii tabia. Tunafumba macho ila siyo kwamba hatuoni. Anyway, hii ni mada nyingine najua wengi mtaacha mada kuu mtajikita kwenye hili.
Binafsi mechi za kimataifa nacheki DSTV, nikiangalia Azam TV kama nipo home naweka kwa lugha ya kiingereza. Watangazaji wa kiingereza hawana mambo mengi. Zama za huyu anampasia huyu, anapeleka kwa yule ni enzi za radio, wao wamevuka nazo hadi kwenye vioo. Yaani kina Ateba wakukwaze na mtangazaji tena akukwaze? Hayo maisha mimi siyawezi.
Kwanza watangazaji wa kiingereza wanakupa analysis ya matukio, wachezaji, timu au mchezo kisomi bila kuwa na upendeleo na hawana maneno meengi.
Binafsi, mimi siwakubali hawa watangazaji woote. Kwanza wote wana chembechembe za uto na wengine wanaonyesha mahaba yao wazi wazi. Kuna huyo anaitwa Kambole sijui, ukisikiliza utangazaji wake utadhani anatangaza kwenye Yanga TV. Anasahau anatakiwa awe "balanced".
Kuna yule alitangaza game ya kwanza ya Al Masry vs Simba. Aisee, alishindwa kabisa kuficha furaha yake pale Simba ilipokuwa inafungwa hadi inashtua. Imefika wakati uongozi wa Simba utilie maanani haya mambo na iwasiliane kiofisi na Azam kama ambavyo uto wanafanya.
Kuna yule/wale wanatutangazia kiarabu. Hivi mbona kuna watu nchi hii wanadhani mpira ni kwa ajili ya watu wa imani fulani? Juzi nilimsikia roporopo mmoja anamkataa mzabuni wa Simba JayRutty eti kwa sababu hakufunga mwezi wa Ramadhani? Kuna hii ya kupeleka misaada kwenye vituo vya dini moja. Mifano ipo mingi ya hii tabia. Tunafumba macho ila siyo kwamba hatuoni. Anyway, hii ni mada nyingine najua wengi mtaacha mada kuu mtajikita kwenye hili.
Binafsi mechi za kimataifa nacheki DSTV, nikiangalia Azam TV kama nipo home naweka kwa lugha ya kiingereza. Watangazaji wa kiingereza hawana mambo mengi. Zama za huyu anampasia huyu, anapeleka kwa yule ni enzi za radio, wao wamevuka nazo hadi kwenye vioo. Yaani kina Ateba wakukwaze na mtangazaji tena akukwaze? Hayo maisha mimi siyawezi.
Kwanza watangazaji wa kiingereza wanakupa analysis ya matukio, wachezaji, timu au mchezo kisomi bila kuwa na upendeleo na hawana maneno meengi.