Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,360
- 11,505
Asilimia 99 ya Wabunge ni wa CCM najua jinsi gani mheshimiwa Rais unapata changamoto kuchagua Mawaziri.
Mheshimiwa Rais wala usiwe na haraka. Chagua taratibu sana. Wapitie hawa wabunge mmoja baada ya mwingine. Then hata kama itachukua miaka 2 au 3 wala haina shida. Sisi hatuoni tatizo lolote
Na wakati mwingine hata hawa mawaziri ni mzigo tu. Kwa nini Makatibu Wakuu wasiendelee kuchapa kazi? Mawaziri mimi binafsi sioni hata umuhimu wao. Mpaka sasa wiki ya 3 hakuna mapungufu yoyote kiutendaji.
Na tunajua mawaziri hawa hawakuwa na lolote walifanyalo zaidi tu ya kutoa matamko, kutunisha matumbo na kutunisha mifuko yao.
Tuendelee kupiga kazi wewe endelea kuwapima na kuwachuja ikifika mwaka kesho teua wawili. Then endelea wachunguza wengine mpakan2022 hapo unaweza tena teua mmoja. Then 2023 mmoja, 2024 mmoja au wawili. Mwishowe 2025 unavunja baraza la mawaziri.
Mheshimiwa Rais wala usiwe na haraka. Chagua taratibu sana. Wapitie hawa wabunge mmoja baada ya mwingine. Then hata kama itachukua miaka 2 au 3 wala haina shida. Sisi hatuoni tatizo lolote
Na wakati mwingine hata hawa mawaziri ni mzigo tu. Kwa nini Makatibu Wakuu wasiendelee kuchapa kazi? Mawaziri mimi binafsi sioni hata umuhimu wao. Mpaka sasa wiki ya 3 hakuna mapungufu yoyote kiutendaji.
Na tunajua mawaziri hawa hawakuwa na lolote walifanyalo zaidi tu ya kutoa matamko, kutunisha matumbo na kutunisha mifuko yao.
Tuendelee kupiga kazi wewe endelea kuwapima na kuwachuja ikifika mwaka kesho teua wawili. Then endelea wachunguza wengine mpakan2022 hapo unaweza tena teua mmoja. Then 2023 mmoja, 2024 mmoja au wawili. Mwishowe 2025 unavunja baraza la mawaziri.