Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 38,526
- 48,840
Inasikitisha mno.
Pamoja na kuwa na Afcon 2027.
Ila maajabu hakuna direct flight toka Dodoma to Arusha.
Air Tanzania, hii ni nini??
Yaani unatoka Dom, ili uende Arusha, lazima uwende Dar, Zanzibar, Kilimanjaro then Arusha.
Ukitoka Asubuhi unafika usiku.
What the he'll??
Mbona mnaharibu Shiraka???
Pamoja na kuwa na Afcon 2027.
Ila maajabu hakuna direct flight toka Dodoma to Arusha.
Air Tanzania, hii ni nini??
Yaani unatoka Dom, ili uende Arusha, lazima uwende Dar, Zanzibar, Kilimanjaro then Arusha.
Ukitoka Asubuhi unafika usiku.
What the he'll??
Mbona mnaharibu Shiraka???