Hakuna chama cha upinzani Tanzania chenye uwezo wa kusimamisha mgombea kila Jimbo, Kata, Kijiji, Mtaa

Ila kuna chama ambacho kinawashawishi wasimamizi wa uchaguzi kukimbia ofisi zao ili wapinzani wasiweze kurudisha fomu
 
Kama CDM iko hai,inaama wabunge wote wa CDM zaidi ya 60 wanatoka Hai?
 
Ndugu zangu,

Namba hazidanganyi. Si CHADEMA, ACT, CUF wala chama chochote hapa Tanzania kinachoweza kusimamisha mgombea kila jimbo, kata, kijiji, mtaa. Vyama vyote hivyo vinafanya kazi mijini au kwenye sehemu ambayo viongozi wao wamezalizaliwa au dini ya viongozi wao. Mfano: Chadema ipo Hai, ACT ipo Kigoma na hivi karibuni imeingia Zanzibar sababu ya Maalim Seif.

Kwa mtazamo huu, bado itachukua karne kuifikia CCM, ni sawa leo kulinganisha makanisa, taasisi kama RC, makanisa ya CCT na makanisa ya akina Mwamposa, Gwajima et al.

Leo Zitto, Mbowe ni ''mitume'' kwenye vyama vyao; hata wafuasi wao wanakiri kuwa bila wao vyama vyao vinakufa.

Tujadili kwa hoja si viroja.
Utachuchukua muda wa karne kwa wewe kuelewa maana ya demokrasia na UCHAGUZI HURU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu zangu,

Namba hazidanganyi. Si CHADEMA, ACT, CUF wala chama chochote hapa Tanzania kinachoweza kusimamisha mgombea kila jimbo, kata, kijiji, mtaa. Vyama vyote hivyo vinafanya kazi mijini au kwenye sehemu ambayo viongozi wao wamezalizaliwa au dini ya viongozi wao. Mfano: Chadema ipo Hai, ACT ipo Kigoma na hivi karibuni imeingia Zanzibar sababu ya Maalim Seif.

Kwa mtazamo huu, bado itachukua karne kuifikia CCM, ni sawa leo kulinganisha makanisa, taasisi kama RC, makanisa ya CCT na makanisa ya akina Mwamposa, Gwajima et al.

Leo Zitto, Mbowe ni ''mitume'' kwenye vyama vyao; hata wafuasi wao wanakiri kuwa bila wao vyama vyao vinakufa.

Tujadili kwa hoja si viroja.

Mwenyekiti wa ccm na Rais wa Tanzania hataki wenye Vyama waende kufanya MIKUTANO na Wananchi kwenye maeneo ambayo hawapo, wataenea lini na kuwa na Wafuasi na kuweza kusimamisha wagombea nchi nzima?

MBOWE ALIPOSEMA UBABE NDIYO HUO.

USIMNUKUU WAZIRI MKUU KUWA HAWAJAZUIWA,

UKWELI NI KWAMBA WAMEZUIWA.

NJOO NA HOJA NYINGINE.
 
Mwenyekiti wa ccm na Rais wa Tanzania hataki wenye Vyama waende kufanya MIKUTANO na Wananchi kwenye maeneo ambayo hawapo, wataenea lini na kuwa na Wafuasi na kuweza kusimamisha wagombea nchi nzima?

MBOWE ALIPOSEMA UBABE NDIYO HUO.

USIMNUKUU WAZIRI MKUU KUWA HAWAJAZUIWA,

UKWELI NI KWAMBA WAMEZUIWA.

NJOO NA HOJA NYINGINE.
Kamanda huo si utetezi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili halina ubishi.

Ndugu zangu,

Namba hazidanganyi. Si CHADEMA, ACT, CUF wala chama chochote hapa Tanzania kinachoweza kusimamisha mgombea kila jimbo, kata, kijiji, mtaa. Vyama vyote hivyo vinafanya kazi mijini au kwenye sehemu ambayo viongozi wao wamezalizaliwa au dini ya viongozi wao. Mfano: Chadema ipo Hai, ACT ipo Kigoma na hivi karibuni imeingia Zanzibar sababu ya Maalim Seif.

Kwa mtazamo huu, bado itachukua karne kuifikia CCM, ni sawa leo kulinganisha makanisa, taasisi kama RC, makanisa ya CCT na makanisa ya akina Mwamposa, Gwajima et al.

Leo Zitto, Mbowe ni ''mitume'' kwenye vyama vyao; hata wafuasi wao wanakiri kuwa bila wao vyama vyao vinakufa.

Tujadili kwa hoja si viroja.
 
CHADEMA ilisimamisha wagombea hadi chumbani kwa Mungu wako CHATO....... mna bahati sana kenge nyie tungewacharaza hadi wenyeviti wa mitaa ya jirani ya ikulu wangekuwa wanatokana na chadema...SEMA ASANTE POLISI.
 
Ndugu zangu,

Namba hazidanganyi. Si CHADEMA, ACT, CUF wala chama chochote hapa Tanzania kinachoweza kusimamisha mgombea kila jimbo, kata, kijiji, mtaa. Vyama vyote hivyo vinafanya kazi mijini au kwenye sehemu ambayo viongozi wao wamezalizaliwa au dini ya viongozi wao. Mfano: Chadema ipo Hai, ACT ipo Kigoma na hivi karibuni imeingia Zanzibar sababu ya Maalim Seif.

Kwa mtazamo huu, bado itachukua karne kuifikia CCM, ni sawa leo kulinganisha makanisa, taasisi kama RC, makanisa ya CCT na makanisa ya akina Mwamposa, Gwajima et al.

Leo Zitto, Mbowe ni ''mitume'' kwenye vyama vyao; hata wafuasi wao wanakiri kuwa bila wao vyama vyao vinakufa.

Tujadili kwa hoja si viroja.
Mmawia atabisha
 
Back
Top Bottom