Hakuna atakayeachia ngazi sakata la Escrow

Status
Not open for further replies.
Tibaijuka ameshasema hiyo ni sadaka ya shule yake aliyopewa. Kumbuka Ruge ni wa Kagera na Tibaijuka ni wa Kagera, na asaidie wapi zaidi nyumbani> sadaka huanzia nyumbani.

Tibaijuka ana uhusiano upi na escrow? ni wapi alipooneshwa kuwa ka influence au kachochea chochote katika hilo?

Hata mimi ningepewa sadaka nisingekataa.
Kwa hili nakutukana, nenda kule ohio street au kinondoni makaburini utapewa sadaka na wewe, mpuuzi usiye na haya wewe, fedha za uma zinaibiwa wewe unatetea!
 
Viongozi aina ya Chenge, maaufukama vijiset vy chenji y RADA, wanafahamika bayana. Kwani wakati wa Enzi za utawala wa haki usawa na uwepo maadili ya uongoz naAzim la Arusha hawakudiriki kusogelea mambo ya siasa kwani walijua na kutambua kuwa siasa ilikuwa kiaa unapokuwa mkwapuaji na bmbinafsi ilivyo holela sasa.
Nyegugu
Baada ya kusikiliza ripoti rasmi ya PAC iliyowasilishwa na Zitto Kabwe na Deo Filikunjombe nnadiriki kusema kuwa hakuna cha maana kwenye ripoti yao cha kuwafanya mawaziri kuwachia ngazi.

Ni drama tu lakini hakuna kipengele chochote cha sheria ambacho hakijibiki au kilichooneshwa kuwa kimekiukwa.

Hukumu ya Mahakama ni ya halali na haina utata na Zitto wala CAG wala TAKUKURU hawajaonesha kuwa ilikuwa ni batili au ya kughushi.

Zitto kapiga porojo nyingi sana kuliko ukweli, na mwanasheria yoyote mahiri anazisambaratisha hoja zake zote ndani ya nusu saa.

Zitto ametetea sana BoT lakini alichoshindwa kuelewa ni kuwa Bot kama wakala ndiye alitakiwa aridhike na vielelezo vyote kabla hajalipa na kama havijakamilika hawezi kutoa fedha. Zitto anasema eti Mwanasheria Mkuu wa Serikali ndiye alimuamuru Gavana hizo fedha zitolewe, toka lini Gavana wa benki anatoa fedha kwa amri ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali?

Utata wa IPTL na Standard Chartered ni huko-huko kwao si IPTL iliyokopa, iliyokopa ni Mechmar na Mechmar haiwezi jitokeza kwani imeshafilisika kisheria, Standard Chartered karata yao ya mwisho ni hii na hapa wamepata mwanya.

Nnasikitika kusema na nnaliona linakuja la Serikali kuingia gharama kubwa ya kulipa zaidi ya mara mbili au tatu hizi fedha ikiwa watafata akili za akina Zitto.

Nnashauri, wajadili hili suala bungeni lakini shauri liwachwe kesi kumi zilizopo mahakamani zinazoihusu IPTL zikamilike.

Mapendekezo ya Zitto ya watu kuachia nyadhifa zao ni ya kishabiki na hayana mshiko, watu hawaachii tu nyadhifa zao kwa habari kama hizi ambazo hazina mshiko wa kisheria.

Isitoshe, fedha zilizolipwa escrow si kamili, hizo zilizobaki zilizuiliwa kwanini? Jibu tutalipata kesho na ndilo litakalosambaratisha hoja ya kodi ya Zitto.

Kuna mengi sana ya kuchambua lakini tusubiri kesho, tusiandikie mate na wino upo. Ni matumaini yangu kuwa wote waliotajwa watapewa fursa ya kujibu. Na hapo ndipo mtamjuwa Chenge ni kichwa.
 
Inawezekana wamejipanga vizuri sana kutoachia ngazi maana bado mipango yao ya kutuibia pesa wananchi haijakamilika,sioni ajabu kwa watu wa namna hii kutotaka kujiweka pembeni hata baada ya kuwa wamefanya ufisadi mkubwa kwa wananchi.
Adhabu yao imekwishachemka na hakuna kurudi nyuma,kwa hoja iliyopo mezani hakuna aliyetajwa na akapona hivyo kwa wale wapambe nuksi ambao mnapigia debe matumbo yenu humu mkae chonjo maana ule mrija wenu wa kukingia pesa za bure utakatwa muda si mrefu,tafuteni kazi nyingine mjini.
 
Bahati mbaya hauna hoja zaidi ya ushabiki...,
PCCB na CAG ina waatalam, na wakati wa uchunguzi, mahojiano yalifanyika.
Report imekamika, PAC wameiwakilisha, wivu wa nn?
 
huyu mtetea maovu siku zote.. FaizaFoxy
1) mtazamo wake ni hela zile za escrow siyo ya mali ya umma
2) hakubaliani na report ya c.a.g
3) hakubaliani report ya takukuru
4) hakubaliani na report ya pac
mpaka hapo nimeamini huyu hayuko sawa kiakili labda ana mtindio wa ubongo.....au ana matatizo ya kukosa kuf....... they is something wrong na huyu bibiye

3. Ripoti ya TAKUKURU haikuonesha wala haikushutumu mahala kuhusu rushwa nilichokiona ni kuwa TAKUKURU wanaendelea na uchunguzi hawajamaliza, soma vizuri: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...usu-escrow-akaunti-kama-ni-fedha-ya-umma.html
 
Bahati mbaya hauna hoja zaidi ya ushabiki...,
PCCB na CAG ina waatalam, na wakati wa uchunguzi, mahojiano yalifanyika.
Report imekamika, PAC wameiwakilisha, wivu wa nn?

Onesha basi ni wapi kwenye hiyo ripoti ya CAG iliposema kuna rushwa na kuna wizi?

Ya nini unaandikia mate na wino upo?
 
Simumjibu kwa hoja, matusi yanini, hio ni hoja yake.
Na wewe kwani hauelewi? Pia wewe unaye zuia tusipe ukweli wake, pokea lako; wewe ni mp-puuzi kama yeye, nya-mbaafu wewe. M imi na hasira na hawa wezi,watu wnakufa hospital nyie mnajichotea hela! mb-wa nyie.
 
2. Nakubaliana na ripoti ya CAG na sijaona kwenye ripoti ya CAG kuwa kuna wizi au rushwa imefanyika kwa walioambiwa waachie ngazi.

Wewe kama umeona kitu kama hicho kwenye ripoti ya CAG nioneshe.

faiza hata dini ya haki inakataza unayoyatetea, sielewi umekuwaje wewe hata ritz kanyoosha mikono kwa hili sakata, nakushauri uwe unamuogopa mungu kabla hujapost chochote kumbuka kuna dhambi utaendelea kuhesabiwa hata kama utakuwa umekufa sasa kama upotoshaji unaoufanya kwa maksudi hapa jf ukaendelea kuathiri vizazi na vizazi unadhani utakuwa salama kwa mola wako?
 
Onesha basi ni wapi kwenye hiyo ripoti ya CAG iliposema kuna rushwa na kuna wizi?

Ya nini unaandikia mate na wino upo?
Na wewe kwa nini unaandikia mate na wino upo si usubiri basi? mwisho wa siku tutajua mbivu na mbichi!
 
sihangaiki bali natoa mawazo kwa muono wangu kama wewe unavyotoa mawazo yako kwa muono wako.

iwe pesa ya umma au la, iwe pesa halali au la, faiza unaweza ku-justify uhalali wa viongozi wa umma wenye dhamana kubwa ya kufanya maamuzi serikali, kupewa eti zawadi mabilioni ya shilingi bila kuwepo na interest yeyote nyuma yake. Biashara gani au wanalipwa fadhila ipi, kwa uhusiano gani na wakina rugemalira na wenzake unaohalalisha au kutoa haki ya kupewa hayo mabilioni. Na mpaka sasa hawajakanusha kupokea hayo mapesa. ni kweli baadhi ya hoja za pac hazina uhakika kuwatia baadhi ya watuhumiwa hatiani, hoja yangu ni hii walipokea mgao kwa uhalali upi? wakijibu hili kesi imekwisha, na ukumbuke lazima tuhoji zawadi hii kwani wao ni viongozi wa umma wenye kufanya maamuzi na mengine yamefanyika kuhalalisha ulipaji kwa pap
 
1. Si mtazamo wangu soma hapa:

quote_icon.png
By FaizaFoxy
Hayo ya "pesa za UMA", soma hii ripoti ya CAG inasemaje kuhusu hizo pesa, hakuna mahala imesema za "UMA" wala za kijiko.

Kaimu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali
"... Kwa jinsi tulivyopitia fedha hii, tungesema ipo katika makundi matatu. Kundi la kwanza hiyo fedha ilikuwa na kodi ndani yake kwa hiyo tungesema kulikuwemo na fedha ya Serikali kwa maana ya kodi. Kwa upande mwingine, kwa sababu mpaka ESCROW inafunguliwa kulikuwa na dispute, kulikuwa na kutokubaliana juu ya charges, kwa hiyo kuna fedha ambayo inaweza ikawa ni ya TANESCO na kuna fedha ambayo inaweza kuwa ni ya IPTL ..."

Source: Full Text: Ripoti ya PAC Bungeni kuhusu Tegeta Escrow Account


Ni wapi hiyo ripoti ya CAG iliposema ni pesa za umma?
Tanesco siou Uma? eeh? ni kijiko?
 
Baada ya kusikiliza ripoti rasmi ya PAC iliyowasilishwa na Zitto Kabwe na Deo Filikunjombe nnadiriki kusema kuwa hakuna cha maana kwenye ripoti yao cha kuwafanya mawaziri kuwachia ngazi.

Ni drama tu lakini hakuna kipengele chochote cha sheria ambacho hakijibiki au kilichooneshwa kuwa kimekiukwa.

Hukumu ya Mahakama ni ya halali na haina utata na Zitto wala CAG wala TAKUKURU hawajaonesha kuwa ilikuwa ni batili au ya kughushi.

Zitto kapiga porojo nyingi sana kuliko ukweli, na mwanasheria yoyote mahiri anazisambaratisha hoja zake zote ndani ya nusu saa.

Zitto ametetea sana BoT lakini alichoshindwa kuelewa ni kuwa Bot kama wakala ndiye alitakiwa aridhike na vielelezo vyote kabla hajalipa na kama havijakamilika hawezi kutoa fedha. Zitto anasema eti Mwanasheria Mkuu wa Serikali ndiye alimuamuru Gavana hizo fedha zitolewe, toka lini Gavana wa benki anatoa fedha kwa amri ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali?

Utata wa IPTL na Standard Chartered ni huko-huko kwao si IPTL iliyokopa, iliyokopa ni Mechmar na Mechmar haiwezi jitokeza kwani imeshafilisika kisheria, Standard Chartered karata yao ya mwisho ni hii na hapa wamepata mwanya.

Nnasikitika kusema na nnaliona linakuja la Serikali kuingia gharama kubwa ya kulipa zaidi ya mara mbili au tatu hizi fedha ikiwa watafata akili za akina Zitto.

Nnashauri, wajadili hili suala bungeni lakini shauri liwachwe kesi kumi zilizopo mahakamani zinazoihusu IPTL zikamilike.

Mapendekezo ya Zitto ya watu kuachia nyadhifa zao ni ya kishabiki na hayana mshiko, watu hawaachii tu nyadhifa zao kwa habari kama hizi ambazo hazina mshiko wa kisheria.

Isitoshe, fedha zilizolipwa escrow si kamili, hizo zilizobaki zilizuiliwa kwanini? Jibu tutalipata kesho na ndilo litakalosambaratisha hoja ya kodi ya Zitto.

Kuna mengi sana ya kuchambua lakini tusubiri kesho, tusiandikie mate na wino upo. Ni matumaini yangu kuwa wote waliotajwa watapewa fursa ya kujibu. Na hapo ndipo mtamjuwa Chenge ni kichwa.

mkuu usipindishe hizi hoja nzito kwa kuhoji uhalali tunachohoji ni jinsi serikali ilivyokosa mapato ambayo hao unaowatetea ni wamoja wapo waliochukua hata kile kidogo cha serkali wakijua kuwa wana dhamana ya kulinda kanuni taratibu na sheria za nchi ,sheria ni msumeno alishiriki kutunga leo akubali sheria imhukumu .hatuwezi kuvumilia mwizi ingekuwa saudia wote wangekatwa mkono kwa kosa la kwanza kule china wangenyongwa sababu hasa ni kufuta kizazi hiki kichafu kisije kuambukiza kizazi kijacho .lazima tusimame kulinda nchi kikamilifu .kizazi hiki cha kina pinda hakifai ni mfano mbovu kwa jamii nzima .
 
Onesha basi ni wapi kwenye hiyo ripoti ya CAG iliposema kuna rushwa na kuna wizi?

Ya nini unaandikia mate na wino upo?

Eg. Prof hon Waziri wa Minerals kutumia office ya umma kuwa dalali wa Sethi - MD PAP. ktk kufanikisha deal. etc etc,
 
iwe pesa ya umma au la, iwe pesa halali au la, faiza unaweza ku-justify uhalali wa viongozi wa umma wenye dhamana kubwa ya kufanya maamuzi serikali, kupewa eti zawadi mabilioni ya shilingi bila kuwepo na interest yeyote nyuma yake. Biashara gani au wanalipwa fadhila ipi, kwa uhusiano gani na wakina rugemalira na wenzake unaohalalisha au kutoa haki ya kupewa hayo mabilioni. Na mpaka sasa hawajakanusha kupokea hayo mapesa. ni kweli baadhi ya hoja za pac hazina uhakika kuwatia baadhi ya watuhumiwa hatiani, hoja yangu ni hii walipokea mgao kwa uhalali upi? wakijibu hili kesi imekwisha, na ukumbuke lazima tuhoji zawadi hii kwani wao ni viongozi wa umma wenye kufanya maamuzi na mengine yamefanyika kuhalalisha ulipaji kwa pap
Ye hilo halioni..kajitia upofu? bora kumpotezea tu
 
Wewe unayemwita Chenge ni kichwa lazima umetegesha mrija wako siyo bure. Consultation 1.6 Billion? halafu unathubutu kusema Chenge ni kichwa acha porojo wewe binti FF

Hata kama chanzo cha ugali wako ni ccm si kutetea kila kitu.

Chenge anaweza kuwa.kichwa katika kuratibu mipango ya kifisadi kama radar,.EPA, Richmond, BMK, na.sasa escrow
 
mkuu usipindishe hizi hoja nzito kwa kuhoji uhalali tunachohoji ni jinsi serikali ilivyokosa mapato ambayo hao unaowatetea ni wamoja wapo waliochukua hata kile kidogo cha serkali wakijua kuwa wana dhamana ya kulinda kanuni taratibu na sheria za nchi ,sheria ni msumeno alishiriki kutunga leo akubali sheria imhukumu .hatuwezi kuvumilia mwizi ingekuwa saudia wote wangekatwa mkono kwa kosa la kwanza kule china wangenyongwa sababu hasa ni kufuta kizazi hiki kichafu kisije kuambukiza kizazi kijacho .lazima tusimame kulinda nchi kikamilifu .kizazi hiki cha kina pinda hakifai ni mfano mbovu kwa jamii nzima .

Mapato yepi waliyokosa wakati wana zaidi ya billioni 100 wamezuwia, hawajalipa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom